Kwanz Me nimefurahi sana kusikia huo utabiri wake kwa maana siku zote huwa tunamprove wrong kwa kile alichokitabili juu yetu huyu MO, hata Msimu uliopita alitutabiria kuwa hatutafanikiwa kupita katika Group Stage za CL but tukamwonesha kuwa tunaweza kuliko anavyofikia yeye.
Ngoja nione mwisho...
Naomba Mungu asituangushe manake team pinzani inajiandaa kumkabili kuhakikisha hafanyi mambo
Wala sina wasi wasi nao hao Team Mpinzani, kwanz huyo Team yake mambo yao yanaishia hatua ya makundi.
amini usiamini!
Me sitaki Mapressure kama ya leo.
Team langu ni lile analochezea yule Kijana Mfupi Mfupi hivi.
Argentina!!!!! Basiii....
Na Mwaka huu wake.
Sitaki unionee huruma.
Sijui nimchague yupi ni Mkali zaidi ya mwenzake.
Edo sikosagi Makala zake hata siku moja.
Dauda naye ivyo ivyo sikubaliki kukosa kipindi chake hata kwa dakika moja.
Naoomba Mungu na Msimu Ujao utujalie tupate ubingwa tena, Hasa wa EPL kwanza.
Halafu ndo tufunge midomo ya Wasema ovyo, na wapenda kuvaa T-Shirt ya CR, Msimu mzima utafikiri hawaonagi/ hawanaga nguo zingine.
Katiba tayari CCM wanayo, naona sasa hivi wanafikiria juu ya caver waweke picha ipi kati ya ile inayowaonesha wakitolosha Tembo wetu au Wakificha Mabillion yetu kule Ughaibuni.
Mimi hata kura ya kukubali au kukataa sipigi tena.
Haina faida yoyote, kwasababu watatuambia pia kuwa waliopiga kura...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.