Kwani wakati wanajihusisha na hhiyo biashara haramu wanakula bata na wanasababisha vijana wengi kujihusisha na madawa hawakujua sheria inasemaje mimi naona ni sawa tu na tanzania tungenyonga wote wanaojipatia pesa kwa njia hiina pia mbona wamenyongwa wengi wakiwemo wagana na wanaijeria na bado...
Shule 10 za mwisho ni:
Manolo mkoa wa Tanga
Chokocho mkoa wa Pemba
Kwalugulu mkoa wa Tanga
Relini mkoa wa Dar es salaam
Mashindei mkoa wa Tanga
Njelekela Islamic Seminary mkoa wa Kigoma
Vudee mkoa wa Kilimanjaro
Mnazi mkoa wa Tanga
Ruhembe mkoa wa Morogoro
Magoma mkoa wa Tanga
Hizi ndio shule 10 bora matokeo-kidato cha nne 2013:
St.Francis Girls (Mbeya)
Marian Boys (Pwani)
Feza Girls (Dar-es-salaam)
Precious Blood (Arusha)
Canossa (Dar-es-salaam)
Marian Girls (Pwani)
Anwarite Girls (Kilimanjaro)
Abbey (Mtwara)
Rosmini (Tanga)
DonBosco Seminary (Iringa)
Hawa...
Siku zote waislam hawawezi kulingana na christian katika nafasi za kzi ukitaka kujua hili angalia Matokeo ya kidato cha nne angalia shule 50 bora uchambue seminary za chrisstian ziko ngap na islamic seminary ziko ngapiau angalia top ten ya wanafunziwaliofanya vizuri uone muslim wangapi na...
Habari za kutoka ndani kabisa ni kwamba mtaajiriwa wa sita mwishoni au saba mwanzoni ia kama sdvocate mandhali una Muhuli wako basi fungua hata kijiofisi mtaani hutokosa buku kumi kwa siku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.