Ag wameanza kuita leo kaa karibu na simu yako kuna maelekezo muhimu.
Jana nimepigiwa pia na mimi nikapewa maelekezo, ila kuna jamaa zangu hawajapigiwa sa sijui anaita kidogo kidogo
duuuu! hongereni! ngoja na si tusubiri
Unahisi wamekusahau nn ? au ulikosea kuandika namba.
I hope tutaanza kaz mwez huu
jamani jamani. wengine tusijepotezewa
Kwanza badili kichwa cha habari, hakuna mawakili wa serikali ila kuna wanasheria wa serikali.
Back to topic; kwa kuwa usahili wa awali hawakupata idadi ya kutosha basi nadhani wameamua kusubiri ili wawaunganishe na wale watakaofanya usahili tar 03 feb. Naamini wataitwa wiki chache baada ya feb 03.
Mpe mdogo wako pole