ila naomba gov yetu ijarb kupunguza gharama kidogo laki tatu bado hapo gharama ya kununua.kama mwanakijiji tu na usawa huu hzo kilo tatu atazipatia wapi
unauliza itawasidia vp raia wa hali chini.wakati ndo mkombozi wetu.labda nikulize swali mara ngapi umepanda ndege.au ni mtu gani wa kipato cha chini anaweza mudu gharama ya ndege
dysminorrhoea condition ni hali inatokea wakati au kabla ya hedhi.ila ikizidi kuna visababishi vingi.endometritis.pid.au hata uterine fibroid.ect.ushauri nenda kituo cha huduma ya afya kwa vipimo na ushauri zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.