unaonekana hadi leo muoga. endelea kutunza bikra yakosiye ndiyo tulikuwa watu tusiojulikana kwa school. Sijawahi hata mara moja kutoa morning speech, nilikuwa muoga ile mbaya huenda Mungu alikuwa yu nami.
Asante...unaonekana hadi leo muoga. endelea kutunza bikra yako
Hahahahahahaha,family tree of mango.Form two katika somo la English Mwl akasema tuchore family tree
Deskmate wangu akachora mti wa maembe na mti wa machungwa
Kisha kwa chini akaandika
This is the family tree of mangoes
This is the family tree of oranges
Huyo Dada Alikuwa na vituko sana kwakweli siku nyingine katika somo la history mwalimu akasema tuchore ramani sikumbuki ilikuwa ramani ya nini
Yule dada akaandika notes nusu ukurasa kisha ile nusu nyingine akaanza akachora ramani, ramani haikutosha akaimalizia kwenye ukurasa wa pili nyuma ya ukurasa wa kwanza.
Kwa ujumla Alikuwa aniburudisha sana na vioja vyake. Ila baadae alichanganyikiwa akaacha shule kwa matibabu.
Teacher: What is the matter over there??
Student: Matter is anything that can occupy space
*Unachezea mambo ya kukariri definitions za form one unakariri hadi definition of basic mathematics.