BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Very true this is 2017, you can't expect women to behave the same way as those in 1947.
Zama zimebadilika wanasema wenyewe
Zama zimebadilika wanasema wenyewe
Unanisingizia jamani!!! Mie niko na aibu...
16-28Hao walikuwa na aibu walikuwa na umri gani na unaowatongoza sasa wana umri gani?
Kwa uzoefu wako, zamani ilikuwaje? Mleta mada yuko sahihi?Mkuu umeshasema zamani ujue sasa hivi mambo ya utandawazi yamechangia sana
Inawezekana si umeona kuna uzi upo humu mwanamke anaomba msaada mwanamke mwenzie anamtaka,mjini kuna mengi huku mkuu karibu sana
kabisa mkuu umeona eeVery true this is 2017, you can't expect women to behave the same way as those in 1947.
Sasa me sio wa zamani jaman me kizazi cha dot.comKwa uzoefu wako, zamani ilikuwaje? Mleta mada yuko sahihi?
Sasa me sio wa zamani jaman me kizazi cha dot.com

Zama zimebadilika si kila ugonjwa ni malariaMbali na udigital, lazima tukubali kuwa zama zimebadilika. Zamani wanawake wengi walikuwa hawapati nafasi ya kuendelea na shule hivyo walikuwa wakitongozwa wakingali wadogo miaka 14-22 hapo. Hivi leo hii mwanamke wa miaka 28+ ataonaje aibu atongozwapo?
