JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Kumuua mtoto wako
mkuu BAK si magari tu, kuna dawa pia na sumu aina mbalimbali, moto, majiko ya gesi, mashimo ya vyoo n.k.. Mtoto wa rafiki yangu alinusurika kifo baada ya kunywa dawa iliyoacha wazi na mama yake. Umakini katika kila kitu kwa kweli unahitajika juu ya malezi ya mtoto