Kumuua mtoto wako

Kumuua mtoto wako

Hii mada imenikumbusha mbali sana yaan mpaka machoz yamenitoka, nilikuwa naish kwa Mjomba siku ya tukio tulikuwa tulikuwa tunaenda kwenye harus, Mjomba alitangulia tukabak Mimi, ant na watoto wawil wa Mjomba huyu wa kwanza ana miaka mitano wa pili ana miez kum, Yule wa kwanza akatumwa mafuta ya taa ,aliporud akayaweka kwenye kordo yule mtoto akaayafata akaamza kunywa ile chupa ikadodondoka akaanza kuyalamba sisi tuko chumban tunajipura, kutoka tunakuta mtoto kasharegea kwenda kununua maziwa wap haikuchukua mda MTOTO akafariki so hii story inanikumbusha mbali
 
mkuu BAK si magari tu, kuna dawa pia na sumu aina mbalimbali, moto, majiko ya gesi, mashimo ya vyoo n.k.. Mtoto wa rafiki yangu alinusurika kifo baada ya kunywa dawa iliyoacha wazi na mama yake. Umakini katika kila kitu kwa kweli unahitajika juu ya malezi ya mtoto

Mhhhhh! Hii inatisha sana, pole zao nyingi sana. Inabidi wazazi kuwa waangalifu mno na magari majumbani kwao maana ajali kama hizi zinatokea sana majumbani.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hii mada imenikumbusha mbali sana yaan mpaka machoz yamenitoka, nilikuwa naish kwa Mjomba siku ya tukio tulikuwa tulikuwa tunaenda kwenye harus, Mjomba alitangulia tukabak Mimi, ant na watoto wawil wa Mjomba huyu wa kwanza ana miaka mitano wa pili ana miez kum, Yule wa kwanza akatumwa mafuta ya taa ,aliporud akayaweka kwenye kordo yule mtoto akaayafata akaamza kunywa ile chupa ikadodondoka akaanza kuyalamba sisi tuko chumban tunajipura, kutoka tunakuta mtoto kasharegea kwenda kununua maziwa wap haikuchukua mda MTOTO akafariki so hii story inanikumbusha mbali

Na pia tunashauriwa tusiweke sumu au mafuta ya taa kwenye chupa za soda au juice, na vihifadhiwe mbali na watoto. Mtoto wa cousin wangu ashawahi kunywa, ye alidhani ni juice kafungua chupa kanywa bahati nzuri hayakuwa mengi akakimbizwa hospt kapona, lakini wengi hawana bahati hivi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom