RIWAYA: Siku ya graduation

RIWAYA: Siku ya graduation

duh mkuu ninoma usisahau kutuekea badae coz hapa yani nataka kujua nini kiliendelea ila sijui.
Hongera kwa story nzuri Mkuu Casuist
 
Last edited by a moderator:
Sasa ndo imenoga jamaaa hapa javini maraia hatuondoki kabisaa hadi tuone nn mwisho wake kama mtafunga ndo na ntahodi
 
Itaendelea au ndio mwisho.... Casuist
 
Last edited by a moderator:
RIWAYA:SIKU YA GRADUATION
MTUNZI:MAUNDU MWINGIZI

SEHEMUYA KUMI NA MOJA

Tukiolile lilikua la ajabu kwa watu wengi pale katika uwanja wa chuoilipokua ikifanyikia GRADUATION, Tulipofika karibu ya Captain JohnMakala, nikamuonamama yangu kaja kwa kasi na kunikumbatia huku akitokwa na machozi yafuraha na huku nako namuona Ntahondi akiwa amekumbatiwa na mama yake.Wakati huo nilipoangalia nyuma ya spika nilifurahi sana kuwaona kakayangu Jarufu akiwa amesimama na Mwl Honde amabo nao walikuawakiufutilia mkasa mzima kwa ukaribu wa hali ya juu, wakati tukiwabado tumeshikana na wapendwa wetu huku kukiwa na hali ya fujo nakelele za wanafunzi wa chuo wengine wakitaka kumvamia Pablo na kuanzakumpiga, wengine wakitaka kukumbatiana na Mwanafunzi mwenzao Ntahondialiekua ametekwa kumbe tayari Ramla alikua amezinduka na anaangaliakila kitu, Ramla alikua akiliaa kwa uchungu sana nadhani kilaakifikiria kua ana mahusiano ya kimapenzi na baba yake mzazi, tenababa yake mwenyewe ni muathirika wa ugonjwa hatari wa Ukimwi yaanililikua ni pigo kubwa sana akaanza kutambaa na kuja kunishika miguuyangu huku akiniomba msamaha..

Ghaflamama yangu akamsukuma na mguu wake wa kulia na kuanza kumtolea manenomachafu
"Toamikosi yako hapa, leo ndo unamuona ni mtu huyu, angekufa hukoungemuona hapa? "
"Mamanaomba mnisamehe, sio kosa langu nilishawishiwa tu mimi"
"Mimisio mama yako, mama yako huyo huko muuaji mwenzi" wakati mamaakimpasha Ramla ghafla ikazuka tafrani mpya baada ya vijana wa Pablosasa kujaribu kumuokoa Boss wao, ilikua ni hatari uwanja ulibadilikaghafla, hapo ndipo nilipomjua Captain John ni mtu hatari alikuaakiruka sarakasi kama mchina huku akipambana na vijana wa Mwaki,ngumi zilipigwa kwa kiwango cha kwenye Video, mara sasa mapambanoyakachukua Sura mpya baada ya milio ya Bunduki kuzagaa kila kona yachuo hiki, kumbe wafuasi wa Mwaki walikua wameshaitana na kuanzakuchakarika kumuokoa mkuu wao

Tulijikuandani ya dakika kadhaa tu tuko vumbi kila mtu akijaribu kuokoa nafsiyake, baada ya mapambano makubwa kati ya Mwaki na vijana wake Dhidiya Captain John na maafisa wenzie, nilipogeuka upande wa pili wakatiYule Baunsa akiendelea kupima msuli na Mwaki nikamuona Pablo akipandaharaka haraka kwenye gari ndogo nyekundu, nikapiga kelele hukunikimonesha Captain tukio hilo, hapo hapo Captain akatoka Pistol yakekiunoni na kupiga Risasi kwenye vii vya gari ile bila mafanikio,wakati akiendelea kuishambulia gari ile Yule Baunsa akamrukiawakaenda mpaka chini huku wakikirikishana kwa nguvu zote, wakati huoiole gari imeshaanza kuondoka na sasa imekaribia na Geti la nje ilisasa Ishike bara bara kuu na itokomee

Akatokekijana mwingine wa usalama akatoa Bunduki yake na kuanza kuishambuliagari iliyombeba Mwaki na hatimae akafanikiwa kuyapasua matairi yagari ile Lakini dereva alikua mbishi sana akaendelea kuendesha kwakasi akiwa tayari kaishaingia barabara kuu, haraka vijana vijana hawanao wakaingia kwenye gari yao na kuanza kuwafukuza, huku chini nakomapambano yalikua yakienmdelea kati ya Captain John na Yule Baunsamweupe na ndani ya dakika kama mbili captain akaonesha umahiri wakekwa kumbinua yule Baunsa aliekua kwa juu na kumuweka chini kashaakammnya kwenye koromeo kwa dakika kadhaa mpaka baunsa Yule akatuliakimya Kisha Captain akainuka na kujifuta vumbi, akamkabidhi kwakijana mmoja aliekua ndo amewasili muda ule na gari yake bila shakanae alikua ni mtu wa usalama, hatukujua kama Captain kamuua YuleBaunsa au kazimia tu, haraka Captain akaingia kwenye gari iletuliyokuja nao mwanzo na kuanza kufuata uelekeo wa kulewalipokimbilia akina Pablo

Namiharaka haraka nikwachukua Mama yangu, mama, Ntahondi na Ntahondimwenyewe mpaka barabarani nikasimamisha Tax kasha nakamlipa Derevahalafu nikamuambia awapeleke Nyumbani, walipoingia na kuanza kuondokahapo hapo nakachukua boda boda na kuanza kuwafukuzia akina CaptainJohn, nija mpaka karibu ya mnazi mmoja nikakuta vurugu imepamba motona sasa tayari Pablo akiwa chini ya mikono ya Askari hawa akiwaanavuja damu mguuni, nilipofuatilia kwa karibu nikagundua kua alikuaamepigwa Risasi, muda hou huo Yule kijana wa usalama nae akawa kafakamahala pale, ndani ya gari yake amembeba Yule Baunsa akiwa badoamezimia, pamoja na Ramla alipofika tu haraka wakamchukua Pablo naeakaingizwa katika Gari hiyo, na maofisa kadhaa wakaingia na sasatukaanza safari ya kuelekea katika Ofisi za usalama

Nilishushapumzi na kumshukuru Mungu kwa hatua ile muhimu nilikua nikiamni sasatumemshinda Pablo na Ramla, na kilichokua kikifuata ni kuwafikishamahakamani kujibu tuhuma za kupanga njama ya kututeka, kututesa, nakutuua, pia Mwaki alikua akikabliwa na kesi zingine nyingi ambazonazo ushahidi wake uko tayari kwa mujibu wa Mhe Waziri mkuu, Japosikua nikiamini kwa asilimia zote kama zoezi ndo limeishia hapo kwamaana nasikia Mwaki ana wafuasi mpaka humo humo serikalini hivyo kamaatazicheza vizuri karata zake huenda mambo yakaharibika lakininilijipa moyo.


Ngekewa ram angelca chacha patrick showtie amina mabata mlyn Angelicious culbby muuza ubuyu princetx Giti VAN HEIST Mng'ongo
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo Casuist, tusubirie kitu kingine unashusha? Tamu sana aisee!
 
Last edited by a moderator:
dah kdgo niache dokument zangu sehem kwa utamu wa hii riwaya unis2e ikiendelea
 
Back
Top Bottom