Wewe jamaa ni mpumbavu sana....hivi unapata faida gani kutete ujinga.....mm ni mkazi wa mwanza wa muda mrefu...na uzuri majiji ya dsm na dom nimetembea....nasema hivi mwanza bado tunasafari ndefu sana....watu wawajibike waache kutafuna hela
Unajua nilikuwa nawaza kwa nguvu sana hadi nikasema au mm ndo siijui jiografia ya nchi yangu....sasa reli ya trilioni za shilingi ikaishie bandari ya musoma ili iweje...hii reli imelenga kuzilisha nchi za rwanda,burundi na drc.,na nchi hizi zitachangia kiwango fulani cha pesa kwa kipande...
Watz ss nu wanafiki sana...na mtoa mada amenidhihirisha hilo leo...kwanza ameanza kwa kuto disclose a publiv info ...eti meya flani wa mkoa wa dar...hiyo habari ipo you tube na links za vyombo vyote vya habari ikiwemo tbc..why hide the identity..thats is total clap...the rest you can add
Brother, sio kila samaki unayemkuta pale kamanga,mbugani au mwalo wa mswahili ni fresh..hawa wachuuzi wa samaki wamebuni mbinu nyingi za kuwafanya samaki kuwa fresh muda wote na hiyo mbinu huweza pia kutumiika....je wajua kwenye masoko ya mwanza wapo samaki (sato/sangara) wa kufugwa...tena wengi...
Acha uwongo mkuu,
kirumba sawa ni eneo la bonde lakini buhongwa nakataa hadi kesho...Mwanza ni mji ambao mvua inyeshe usiku mzima hutaona tope labda barabara kuchanika
Habari mkuu.
Mimi napingana na wewe kwenye kipengele kimoja tu,nacho ni cha abiria kusumama ndani ya daladala...hii sio sababu ya ajali ingawa ajali inapotokea madhara huwa ni makubwa...lakini hata katika nchi za ulimwengu wa kwanza ikiwemo japan yanapotengenezwa kwa wingi abiria husimama kwenye...
Misri hata akifanikiwa kufanya airborne preemptive strike akaharibu walau 60-70%ya ukuta wa bwawa (najua ethiopia siyo wajinga watakua na anti-aircraft missiles hapo za kutosha kulinda hiyo project kwa kuwa wamezika hela nyingi hapo)Ethiopia inaweza kujibu vyote kijesho kwa kushambulia Aswan dam...
Inawezekana hata bima ya afya ya taifa nhif huna masikini,huo ndo ukweli supplementary medicines kama synthetic vitamins mfano Nat B ,neurosupport zimeondolewa,unajua umuhimu wa hizi dawa kwenye neuro-pathology ngoja ufike kwenye 50s utaona umuhimu wake.....acha kuona kila kitu ni siasa,wagonjwa...
Kiujumla mwanza hakuna slums na pia ni maenei machache sana yana asiliwa na mafuriko hasa yaliyo kwenye njia za maji na mabondeni
Mwanza sehemu nyingi ni middle class exclusive au mix ya middle na upper lower class
Uswazi hasa ni mabatini,mkuyuni,igogo,sahara,bugarika,butimba na kirumba
Ungekuwa unakunywa ARVs ungeisifu na kuitukuza marekani kwani siku wasipoleta pesa ndugu na rafiki zako wote wanaoishi kea matumaini utawapoteza na huo ni mfano mdogo tu wa namna hili shetani linavyotetea maisha ya hawa wagonjwa maskini mungu ibariki tanzania,mungu ibariki amerika
Usituchoshe huna unachojua kuhusu uislamu una dandia dandia tu hueleweki .uislamu umeusoma wapi ?? Hadi uje kujifanya ww unajua sana alaf eti sisi tukaulize masheikh ebu chukua time
Hili ni jibu la kikanjanja kabisa na linaakisi ukosefu wa hoja kichwani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.