Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Mwanza

Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Mwanza

mkuu, nipatie sifa unazozipenda katika eneo hilo..na vp patanifaa kutokana na sifa nilizo ziolodhesha..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimeona sehemu umesema hauna usafiri Basi kaishi Bwiru karibu na Barabara ya kwenda Town , kinyuma na hapo utaishia kuishi kwenye maeneo yenye vibaka ...


ISAMILO na Bwiru Yana sifa zote unazohitaji ... Hayo maeneo mengine utaniletea mrejesho hapa ... Watu wameraja Nyegezi ni mbali Sana na town kwa shughuli zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ta
Usijal unapata majibu mkuu

6. Una usafiri binafsi? NO..Itanilazimu kupa dala dala

7. Una familia? NO

8. Una watoto/jamaa wanaotakiwa kwenda shule kila siku? NO

9. Shughuli zako zinakulazimu kwenda mjini kila siku? YES

10. Kipato chako (Capri Point na Isamilo ni kwa wazito) mi ni UPPER-MIDDLE CLASS

11. Unataka kununua nyumba au kupanga? KUPANGA





Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta nyumba Mwananchi, Nyakato Mecco, Nyegezi kuanzia Nyegezi Kona rudi kama unaenda Buhongwa ila usifike Buhongwa.

Epuka;
Butimba, Igogo, Mkuyuni, Kona ya Bwiru, Ghana, Nyamanoro, Kirumba na maeneo ya jirani.

Kama mfuko unaruhusu nenda Bwiru pia.
 
Mkuu nimeona sehemu umesema hauna usafiri Basi kaishi Bwiru karibu na Barabara ya kwenda Town , kinyuma na hapo utaishia kuishi kwenye maeneo yenye vibaka ...


ISAMILO na Bwiru Yana sifa zote unazohitaji ... Hayo maeneo mengine utaniletea mrejesho hapa ... Watu wameraja Nyegezi ni mbali Sana na town kwa shughuli zako

Sent using Jamii Forums mobile app
ahsante sana mkuu kwa dira yako, vp lakin mwananchi na nyasaka, panaendana na sifa zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ta

Tafuta nyumba Mwananchi, Nyakato Mecco, Nyegezi kuanzia Nyegezi Kona rudi kama unaenda Buhongwa ila usifike Buhongwa.

Epuka;
Butimba, Igogo, Mkuyuni, Kona ya Bwiru, Ghana, Nyamanoro, Kirumba na maeneo ya jirani.

Kama mfuko unaruhusu nenda Bwiru pia.
ahsante bro...naomba unisaidie tofauti kati ya kona ya bwiru na bwiru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ahsante bro...naomba unisaidie tofauti kati ya kona ya bwiru na bwiru.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kona ya bwiru ni mbele kidogo ya Ghana kama unaenda Nyamanoro/Pasiansi/Aiport kuna bar maarufu ya Diamond na Hotel ya Tai Five kwa chini kidogo. Hapo ndio kona ya Bwiru.

Bwiru kwenyewe ni mbele huko kumetuliaaaa karibu na shule ya Bwiru Boys au chuo cha Mipango tawi la Mwanza.
 
Kona ya bwiru ni mbele kidogo ya Ghana kama unaenda Nyamanoro/Pasiansi/Aiport kuna bar maarufu ya Diamond na Hotel ya Tai Five kwa chini kidogo. Hapo ndio kona ya Bwiru.

Bwiru kwenyewe ni mbele huko kumetuliaaaa karibu na shule ya Bwiru Boys au chuo cha Mipango tawi la Mwanza.
sawa sawa mkuu nashukuru kwa muongozo wako...Mungu akutangulie mkuu..umeipatia mwangaza wa kujua haya maeneo vizuri..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kona ya bwiru ni mbele kidogo ya Ghana kama unaenda Nyamanoro/Pasiansi/Aiport kuna bar maarufu ya Diamond na Hotel ya Tai Five kwa chini kidogo. Hapo ndio kona ya Bwiru.

Bwiru kwenyewe ni mbele huko kumetuliaaaa karibu na shule ya Bwiru Boys au chuo cha Mipango tawi la Mwanza.
kwa miongozo ya wanazengo humu ndani hadi sasa, nimebahatika kuzipigia tiki sehemu zifuatazo (kifuatacho baadae nkuja kufanya physical survey)

Mwananchi,
Nyasaka,
Bwiru,
Maduka tisa,
Isamilo.

vp hapo lisy yangu mkuu niko vizuri..au kuna nimezingua kutokana na matakwa yangu..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana JF,
Kwa wale ambao wanalifahamu jiji la Mwanza vizuri, ni Maeneo au Mitaa gani ya kuishi (kupanga nyumba/chumba) ambayo yanalandana na sifa zifuatazo?:

1. Sio maeneo ya uswazi/uswahilini.
2. Hayana matukio makubwa ya wizi na vibaka.
3. Upatikanaji wa karibu wa huduma za kijamii na kiuchumi. (maji, kiosk, ..etc).
4. Inaweza kuwa nje ya mji ila isiwe mbali sanaa na mjini kivile.
5. Haikumbwi na mafuriko wakati wa mvua.

Ahsante.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kiujumla mwanza hakuna slums na pia ni maenei machache sana yana asiliwa na mafuriko hasa yaliyo kwenye njia za maji na mabondeni

Mwanza sehemu nyingi ni middle class exclusive au mix ya middle na upper lower class
Uswazi hasa ni mabatini,mkuyuni,igogo,sahara,bugarika,butimba na kirumba
 
Kiujumla mwanza hakuna slums na pia ni maenei machache sana yana asiliwa na mafuriko hasa yaliyo kwenye njia za maji na mabondeni

Mwanza sehemu nyingi ni middle class exclusive au mix ya middle na upper lower class
Uswazi hasa ni mabatini,mkuyuni,igogo,sahara,bugarika,butimba na kirumba
ahsante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna kipindi kupita sahara tu mchana unaogopa acha usiku, Igogo ndio lilikuwa chimbo la bangi na majambazi ila walikuwa wanaenda kuiba mbali lakini ndio uzuri, mabatini kila nyumba lazima inauza gongo au pombe yoyote ya kienyeji


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sahara ukivuka kanisa la Roma acha kabisa,
Igogo nilikuwa nakunywa sana pale kwa magere,
Kilichokuwa kinanipeleka Igogo ni binti mmoja alikuwa anasoma pamba sec!
ila kafala sana sasa kapo uk natamani hata kapate corona kasirudi!
 
kwa miongozo ya wanazengo humu ndani hadi sasa, nimebahatika kuzipigia tiki sehemu zifuatazo (kifuatacho baadae nkuja kufanya physical survey)

Mwananchi,
Nyasaka,
Bwiru,
Maduka tisa,
Isamilo.

vp hapo lisy yangu mkuu niko vizuri..au kuna nimezingua kutokana na matakwa yangu..


Sent using Jamii Forums mobile app
Maduka tisa mi sikushauri lakini.
 
Back
Top Bottom