mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 94,059
- 132,509
Si kwakulazimishwaNye watu mnaosema level seat haiwezekani kwa dar hamjielewi ,mbona wakati wa corona mliweza
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Si kwakulazimishwaNye watu mnaosema level seat haiwezekani kwa dar hamjielewi ,mbona wakati wa corona mliweza
Tatizo wenye hayo magari ndio maboss wenyewe wakifuata sheria wanaona watapata hasaMbona nchi jirani wameweza level seat. Sisi tuna mapungufu gani hadi tushindwe
Mabasi ya mwendokasi yana idadi maalum ya abiria kusimamia. Ndio maana kuna vishikio vya mikono ambavyo vina idadi maalum. Pia mabasi hayo yana njia yake maalumMwendokasi Ni kisasa zaidi lakini Ni maalumu kwa abiria kusimama kukaa Ni maalumu kwa wazee,walemavu na wajawazito siti kwenye haya mabasi Ni chache tu na nafasi iliyobaki Ni kubwa Sana kwaajili ya kusimamisha watu wengi zaidi na hii si kwa Tanzania au Afrika tu mpaka kwa wenzetu haya Mambo yapo
Hei
Huko Japan ulikotolea mfano kama ni kweli je wanasimama kwa kurundikana na kubanana kama magunia ya viazi? Tuambie ni eneo gani la Japan umeona hayoHabari mkuu.
Mimi napingana na wewe kwenye kipengele kimoja tu,nacho ni cha abiria kusumama ndani ya daladala...hii sio sababu ya ajali ingawa ajali inapotokea madhara huwa ni makubwa...lakini hata katika nchi za ulimwengu wa kwanza ikiwemo japan yanapotengenezwa kwa wingi abiria husimama kwenye commuter bus service zao,kikubwa nionacho mm ni kutungwa na kutekelezwa kwa sheria kali za usalama barabarani hasa kwa madereva wanaobeba abiria...
M/mungu aziweke roho za marehemu sehemu zinapostahili...tunawatakia pia majeruhi nafuu ya mapema...
Hapo lazma SUMATRA na TARURA wabaduri sheria zao juu ya urefu wa gari ili ziruhusu articulated bus kuingizwa nchini kwaajir ya kupunguza hio adha kwa maeneo yenye abiria wengiHuyu anaandika huu uzi unakaa mkoa gani?, Kwa Dar hakuna daladala za kutosheleza watu kama zitabeba level siti, pia hii ajali imetokea saa 9.50 alfajiri, kwa muda huu traffic gani atakua barabarani muda huo?
So huwa Wanahesabu abiria wakienea kwenye vishikio Basi au sio?Mabasi ya mwendokasi yana idadi maalum ya abiria kusimamia. Ndio maana kuna vishikio vya mikono ambavyo vina idadi maalum. Pia mabasi hayo yana njia yake maalum
We itakuwa huishi tz hizo movement za watu wachache hazkumaliza hata mwzi watu walkuwa wanafanya Yao Sisi tunaotumia huo usafili ndo tunaelewaWakati wa corona hata movement zilikua chache tofauti na sasa
Asante mkuuHuyu anaandika huu uzi unakaa mkoa gani?, Kwa Dar hakuna daladala za kutosheleza watu kama zitabeba level siti, pia hii ajali imetokea saa 9.50 alfajiri, kwa muda huu traffic gani atakua barabarani muda huo?
Mkuu hivi route ya Temeke - Muhimbili kuna 2000 tangu lini?Tatizo ni zile 2000 wanazopewa kwa kila trip..
Kama linafanya kazi mida wote mbona hao Police traffic huwa hawaonekani barabarani usiku wa manane?Kipindi cha corona watu walikua wanakaa level seat na hawabaki vituoni na wanawahi kufika mapema, na kuhusu muda wa alfajiri, jeshi la polisi linafanya kazi kwa Massa yote 24 , tupo pamoja?