Pia kuna baadhi.ya meter zinakopesha umeme automaticaly pindi unapoisha hasa usiku,lkn ukinunua mwingine na kuweka unapata unit kamili ila ukiweka unakatwa juu kwa juu kama nipige tafu vile,imeshanitokea bila kujua nikaripot tanesco,wakanipa tempa namba ikagoma,wakaja wenyewe wakasema watatuma...
Je wameshindwa kumwandikia barua? Mara kaandikiwa barua ya kuitwa polisi na kaenda?Iweje hii ya kutumia vyombo vya habari kuliko barua au cm?
Mbona list ya awamu ya tatu hawakuitaja kama mbili za awali?
Wanajua matope yao walioyafanya lkn wanajitoa akili.....
Kosa hajafanya Mbowe bali...
Kweli jina lako linamaanisha ulichoandika....kukwanguliwa ndo ipoteze maana yake?kama kukwanguliwa ni hapo juu kwenye neno ofisi.....je na hapo chini badala ya revenue [emoji117] revenge! Kweli ww ni malyenge pole ....
Ndg sio afande,mtoto wake ambae ni mwanafunzi alidaiwa nauli akagoma kulipa akaenda kumwambia baba ake,baba ake akazoana na wajeda wenzake wakaenda road wakamchukua konda na kwenda nae kambini kilichoendelea huko hatujui....lkn mshkaji alitoka akiwa hoi kupelekwa hosptal akakata moto,sasa picha...
Sasa waomba ushauri wa nn wakati umeshaamua,ww endelea ila muda ndo utaongea!
Mmepima afya sawa,je mkewe hachepuki akamketea mmewe akakugawia hayo maradhi?
Au mkewe nae fala kama mmeo?
Na mmeo ajua cinema yote ngoja apate kazi uone mziki wake ....
Mkipanga kukutana hufanyi wampa yote hata...
Ndg hao malaika wakiongozwa na mkubwa wao lusifer ni mara baada ya Mungu kumuumba Adamu,akamwambia Adamu ntakuletea msaidizi wa kufanana na ww....Ndipo akamwambia Adamu na tuumbe mtu kwa mfano wetu! Hii kauli haikumpendeza lusifer kwani yy wakati huo alikuwa ndo malaika mkuu,akahoji kwann...
Seliselina naomba nikusahihishe kidogo ktk bible hakuna sehemu palipoandikwa kuwa Mungu aliumba shetani,big NO! Ila Mungu aliumba malaika,malaika walipoasi ndo wakaitwa mashetani.....
Ujasiri upi ?wa kukamata vidagaa na kuacha makambale yakila maisha,hata hao askari ni wa vyeo vya chini sana kuna wakubwa zaidi ya hao,pia akamate na mapapa ila kwa mwendo huu hamna lolote zaidi kiki ya kurudi kwenye media!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.