Pia kuna baadhi.ya meter zinakopesha umeme automaticaly pindi unapoisha hasa usiku,lkn ukinunua mwingine na kuweka unapata unit kamili ila ukiweka unakatwa juu kwa juu kama nipige tafu vile,imeshanitokea bila kujua nikaripot tanesco,wakanipa tempa namba ikagoma,wakaja wenyewe wakasema watatuma...