Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,601
Huyo ana deni!!
umesahau baa la njaa mkuu mtu akitangaza tu katumbuliwa
Ndo hivyo ndani ya mwezi usizidishe hizo unit,zikizidi tu tarrif inabadilikaHivi na ile huduma ya tariff unit77 kwa elf10 hua mnailimit isivuke mwezi ama inakuaje?
Coz sina matumizi makubwa ya umeme ila zinakimbia sana... Naomba ufafanuzi pls
huu ni uchocheziiiHivi zile fedha zilizokuwa zinafichwa na wafanyabiashara ili kumhujumu zilishapatikana??
Au kashachapisha nyingine ili kuwakomoa??
Naona umebanikwa,nini shida?umesahau baa la njaa mkuu mtu akitangaza tu katumbuliwa
Na namba ya simu
Jamaa akiwa anaongea na Taifa anajisahau akidhani anaongea na vijana wanaochunga ng'ombe zake kule kanda ya "nyonyo"Hivi zile fedha zilizokuwa zinafichwa na wafanyabiashara ili kumhujumu zilishapatikana??
Au kashachapisha nyingine ili kuwakomoa??
Habari yako mkuu....Mie nimenunua leo wa elfu 25, units 70.2 ambazo nimekuwa nazipata kila ninunuapo umeme wa bei hiyo na tangu walipoondoa service charge.
MHESHIMIWA WAZIRI MKUU MSTAAFU, LUWASA NDIO MSAFI.Nani anamjua mtu yeyote mkweli na msafi ccm?
Salama kabisaHabari yako mkuu....
Ushanisahau siyo bure.....Salama kabisa
Yeah... umepanda ila kwa ngazi ya mita, hatupendi watu walalamike kwa pamoja mkatupotezea mwimbo wetu wa madawa ya kulevya..Wakuu, leo nimeenda kununua umeme nikapata unit 22.9 kwa elfu kumi. Wiki tatu zilizopita nilipata 28.2 kwa elfu kumi.
Sasa ina maana umeme umepandishwa kimya kimya? Rais wetu kwa uchungu kabisa si alikataza kupandishwa kwa umeme?