Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Siyo ya zamani. Unajua amefuta herufi U akaweka G ndio maana unaona kana kwamba maandishi ni ya zamani.Revenge. Mnaondoa?lakini mbona yanaonekana ni maandishi ya zamani sana.
Siyo ya zamani. Unajua amefuta herufi U akaweka G ndio maana unaona kana kwamba maandishi ni ya zamani.Revenge. Mnaondoa?lakini mbona yanaonekana ni maandishi ya zamani sana.
Huyo ni Mizanza ninSiyo ya zamani. Unajua amefuta herufi U akaweka G ndio maana unaona kana kwamba maandishi ni ya zamani.
Kweli jina lako linamaanisha ulichoandika....kukwanguliwa ndo ipoteze maana yake?kama kukwanguliwa ni hapo juu kwenye neno ofisi.....je na hapo chini badala ya revenue revenge! Kweli ww ni malyenge pole ....Hilo bango kuna mtu alikwangua usiku wa kuamkia jana akabadilisha maneno. Si kwamba lilikosewa bali ni watu wenye zile tabia za ajabu. Linesharekebishwa mchana wa leo.
10% Mkuumi najiuliza swali moja, wahusika walikubalije kumlipa muandishi wa hilo bango??!!
au walikabidhiwa hilo bango usiku?
sijaelewaelewa hapo.
Kwa hiyo tra.wana bifu na jamaa.Siyo ya zamani. Unajua amefuta herufi U akaweka G ndio maana unaona kana kwamba maandishi ni ya zamani.
Labda walimtuma mlinzi akalipiemi najiuliza swali moja, wahusika walikubalije kumlipa muandishi wa hilo bango??!!
au walikabidhiwa hilo bango usiku?
sijaelewaelewa hapo.
Kwa kiswahili ni MMTMbona wewe umewaita TRA? Kwa mini usiwaite Kwa kiswahii?
Kama ni urambo . SawaHaya ni baadhi ya maajabu ya dunia yanayopatikana Tanzania tu,Hivi kuna sababu yoyote ya kutumia lugha ya kigeni wakati tuna lugha yetu?
View attachment 471540
hii ndio Awamu ya 5. kisasi na kukomoanahii nahisi ni mpya na ina ofisi zake urambo, na bango lao hili hapa!
View attachment 471559
hahahahahaha
Mmh mkuu cha Nsenda kanoge cha mtoto, huyo angekula cha Usoke mlimani yaani hilo bango ndo angeenda na kulisimika uelekeo wa Jamhuri by night kabisaa.Bila shaka alifanYa hvYo kala cha senda kanoge nasikia huko kuna joint balaaa au za igagala no 5 wanaloweka kwenYe mawese kabisa ukiroll joint unapaaa
Soma pia Jina la avator yake halafu kaa kimyaa.Revenge. Mnaondoa?lakini mbona yanaonekana ni maandishi ya zamani sana.
Hii ndo mamlaka anayofanyia Kazi Makonda.Tanzania Revenge Authority
Tanzania Revenge Authority=TRA.Haya ni baadhi ya maajabu ya dunia yanayopatikana Tanzania tu,Hivi kuna sababu yoyote ya kutumia lugha ya kigeni wakati tuna lugha yetu?
View attachment 471540
Hata kama umeamua kutetea,, hapana umetisha kwa uwakili.Typing error tu ya kawaida