ZEE LA HEKIMA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,417
- 1,829
Kisheria mtu anaenda polisi baada ya kukamatwa au anaandikiwa summons sio kupitia vyombo vya habari. Hiyo summons ingepelekwa makao makuu ya Chadema. Mbona Siro hafanyi hivyo? Ni tuhuma ya madawa kweli au Siro anatumika kisiasa kumnyanyasa tu Mbowe? Mbona wale 64 ambao hawajaenda hawafuatiliwi anafuatiliwa tu Mbowe?