Usikubali kuzidiwa na hasira itakuletea matatizo makubwa sema na mkeo kwanza pili thibitisha basi kama ni kweli ukikundua ni kweli tafuta mtu wa karibu na huyo jirani yako amwambie juu ya mchezo anaofanya aachane nao. Venginevo bro kuna kifo na jela itakuwa inakuhusu Ila usife kwa ajili ya...
Mmmmh kaka yanafikirisha kidogo ila taratibu mkuu,ni heri kuamini yupo then twende tusimkute kuliko kutokuamini kabisa tukamkuta kwenye kiti chake cha (enzi)
Ukikuwa utapata akili ndugu haya ni maisha sio mashindano ulijiuliza je ulokuwa nae we ndio mwanaume wa kwanza kwake? Acha ujinga hata Dada yako hatokuwa mkamilifu,unisamehe yawezekana hats mama ako anaolewa hakuwa mkamilifu kama binti.chunga ulimi wako kichwa kitabaki salama
Yawezekana ni kweli interest zake na wala sio umariooo itabidi tukubaliane na mawazo yake ila ukilowea kwa hao matured women sahau mabinti rika lako maana huku kuna kuhudumia 100% walau hao matured wanaweza jigaramia kiasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.