Recent content by chuini

  1. C

    Unafiki wa Clouds Media: Wasitisha top 20 ili kucover msiba wa Agnes

    Hakika sijui alitakaje,unawezakuta mtu ana mastress yake basi anamalizia wengine ili nao wawe kama yy.
  2. C

    Ushauri: Jirani yangu anamtongoza mke wangu

    Usikubali kuzidiwa na hasira itakuletea matatizo makubwa sema na mkeo kwanza pili thibitisha basi kama ni kweli ukikundua ni kweli tafuta mtu wa karibu na huyo jirani yako amwambie juu ya mchezo anaofanya aachane nao. Venginevo bro kuna kifo na jela itakuwa inakuhusu Ila usife kwa ajili ya...
  3. C

    Nini hukumu yao siku ya Kiama kwa wale wasiopata neno la Mungu tangu wazaliwe hadi kifo?

    Nasema tena hoja zako zinafikirisha kaka ila taratibu, psychology na philosophy zako nenda nazo mdogo mdogo
  4. C

    Nini hukumu yao siku ya Kiama kwa wale wasiopata neno la Mungu tangu wazaliwe hadi kifo?

    Mmmmh kaka yanafikirisha kidogo ila taratibu mkuu,ni heri kuamini yupo then twende tusimkute kuliko kutokuamini kabisa tukamkuta kwenye kiti chake cha (enzi)
  5. C

    Niache kula kuku Sea Cliff kisa kupeleka watoto English Medium?

    OK andaa watakaohemshwa na wanasiasa baadae via ccm,cdm,cuf,nccr mageuzi etc
  6. C

    Ubora wa Bombardier: Kwanini ndege hii imechukua siku 5 kutoka Canada hadi Tanzania?

    Usilolijua nyamaza kimya utaficha ujinga wako
  7. C

    Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Ukikuwa utapata akili ndugu haya ni maisha sio mashindano ulijiuliza je ulokuwa nae we ndio mwanaume wa kwanza kwake? Acha ujinga hata Dada yako hatokuwa mkamilifu,unisamehe yawezekana hats mama ako anaolewa hakuwa mkamilifu kama binti.chunga ulimi wako kichwa kitabaki salama
  8. C

    Unstable President leads to Unstable Country

    Inamana hana jema huyu mtu kwenye nchi? Endeleeni kutiana ujinga werevu wanatambua.
  9. C

    Napenda wanawake watu wazima

    Yawezekana ni kweli interest zake na wala sio umariooo itabidi tukubaliane na mawazo yake ila ukilowea kwa hao matured women sahau mabinti rika lako maana huku kuna kuhudumia 100% walau hao matured wanaweza jigaramia kiasi.
  10. C

    Tukumbuke kuwatumia wazazi fedha kwa ajili ya kilimo

    Hata kama kachagua ccm lakini mzazi ni wako ww unapaswa umuhudumie,sio kilakitu kupeleka siasani acha upimbi.
Back
Top Bottom