Napenda wanawake watu wazima

Napenda wanawake watu wazima

Na hilo neno marioo au ben 10 nimekumbana nalo sana kila ninaemsimulia upande wangu wa mahusiano...mimi moyoni huwa naona halinihusu, ni mtu tu kaamua kuniita hivyo.

Ninanvyojua marioo ni mpenzi wa umri mdogo ambae anamtegemea kichumi mpenzi wake wa kike, yaani kutegema sio shida ila hafanyi kazi kabisa, yeye anahudumia penzi tu🙁
Nawakubali sana hata Mimi watu waxima wako poa I like them
 
Mapenzi raha take u date age mate wako, haya mambo ya kukaa na watu wazima Waikato wewe unawaza mwimbo Moyà wa Diamond meenzako anawaza mirathi ya mume wake
Mkuu, tatizo hujawahi kutoka nje ya box (kudate na age mate wako). Mwanamke mtu mzima huliwazwa na kuachana na stress za mirathi ninapomgegeda....na ndio maana sexual interaction huwa tamu sana kwake kuliko hata mimi wakati mwingine...maana mara nyingi najikita kum-massage, kumpa multple orgasm, kumbembeleza etc...ili mradi raha tu...ukitukuta utasema ni age mates trying somethings fun.
 
Mkuu, tatizo hujawahi kutoka nje ya box (kudate na age mate wako). Mwanamke mtu mzima huliwazwa na kuachana na stress za mirathi ninapomgegeda....na ndio maana sexual interaction huwa tamu sana kwake kuliko hata mimi wakati mwingine...maana mara nyingi najikita kum-massage, kumpa multple orgasm, kumbembeleza etc...ili mradi raha tu...ukitukuta utasema ni age mates trying somethings fun.
Ukikutana na mvi Dodoma utafanya nini?
 
Mkuu, tatizo hujawahi kutoka nje ya box (kudate na age mate wako). Mwanamke mtu mzima huliwazwa na kuachana na stress za mirathi ninapomgegeda....na ndio maana sexual interaction huwa tamu sana kwake kuliko hata mimi wakati mwingine...maana mara nyingi najikita kum-massage, kumpa multple orgasm, kumbembeleza etc...ili mradi raha tu...ukitukuta utasema ni age mates trying somethings fun.

nimesema mm hii nipromo!aisee
 
Mkuu sio hivyo, mimi Dar mhamiaji tu. Tatizo kuna nyie hampendi watu tueleze hisia zetu na tunayoyapenda...yaani mna culture hivi wooote mnataka tuifate. Noooo
Unajitetea sana we kiben-ten aka Ganda la ndizi mnapenda sana mterezo vijana wa siku hizi
 
Yawezekana ni kweli interest zake na wala sio umariooo itabidi tukubaliane na mawazo yake ila ukilowea kwa hao matured women sahau mabinti rika lako maana huku kuna kuhudumia 100% walau hao matured wanaweza jigaramia kiasi.
 
Back
Top Bottom