Recent content by chugamaica

  1. chugamaica

    Yaliyojiri kikao cha familia ya bilionea Erasto Msuya na DC, vilio vyatawala

    Alikuwa mgonjwa au aliuawa wewe vipi? kwanza mirathi unajua inagawanywa wakati gani au unakurupuka tu huko kama maharagwe yanayochemka?
  2. chugamaica

    Rushwa: Rais anatumbua lakini bado watu wanakula rushwa, nini kifanyike? Wachapwe hadharani au wafilisiwe?

    Ulilelewa na rushwa uliyeleta hii thread yako hapa, na dhambia ya rushwa utawatafuna nyie hadi kizazi cha tatu kama siyo wewe ni watoto au wajuu zako hakuna kitu kibaya kudhulumu haki ya mtu hii ni dhambia kubwa kama riba ilivyolaaniwa katika vitabu vitakatifu.rushwa,riba na dhulma hii ni zaidi...
  3. chugamaica

    14-Oktoba-1999: Ulikuwa wapi?

    Nilikuwa kidato cha nne karibu tunafanya national
  4. chugamaica

    Maeneo yanayoongozwa na CHADEMA wananchi wagoma kujiandikisha kupiga kura!

    Wewe kenge kweli u wakala ulisikia kuwa huo ndiyo uchaguzi? inanyesha bado bangi hujaacha
  5. chugamaica

    Hii ndo hali ya Baba wa Taifa wakati akienda kutibiwa London cha kushangaza anacheka huku Chenge akiomba kumsindikiza

    Ww umelifahamu vipi hili kama siyo kweli yanayosemwa inaonyesha unatoka familia ya mzee wa vijisenti
  6. chugamaica

    Rais Magufuli: Wafanyakazi wa Tanesco Mtera walikuwa wanafungulia maji ili tukose umeme wauze Petrol na Majenereta

    Hayo maji alikuwa anayafungulia nani?ili IPTL,SONGAS NA SIMBION wazalishe huo umeme?
  7. chugamaica

    Ni aina (kampuni) gani ya Friji ni nzuri na imara?

    Hiyo hela haitoshi kununua friji la kufanya biashara labda ununue cha ghetto andaa kuanzia million chukua West point ila iwe yenye kuonyesha bidhaa au vinywaji hiyo ndo friji la kibiashara.
  8. chugamaica

    Timu Lowassa ambao wako bado CHADEMA wanyimwa fomu za kugombea Arusha

    Yaani katika watu pumbavu kabisa ni wewe wachagga ndiyo wanaishi kwa kutegemea chadema? Kwanza utambue hata mpambane vipi na huu ubaguzi na hilo genge lenu kamwe chadema haifi na na chuki zidi ya wachagga midomo yenu hamtawaweza vyovyote vile stupid.
  9. chugamaica

    Lissu: Nitakutana na viongozi wa Serikali na wabunge wa Marekani

    Unatuchafulia uzi mwehu wewe
  10. chugamaica

    Hoja ya utajiri/umaskini wa mikoa

    Hiyo ni biashara ya kitoto sana miaka 12 unategemea miti !
  11. chugamaica

    Jamani tafadhalini sana, someni mtu mmoja anaitwa 'Papa Doc' wa Haiti

    Rais wa haiti Charles aristide hivi bado yupo afrika maana yale mapinduzi ya mwamerica yalimfanya kukimbia na kuja africa ya kati baada ya muda akaenda zake africa ya kusini hivi kwa hii thread yako jamaa alikimbili nchi ya afrika ya kati hakuna amani vita ya akina anti baraka na seleka ndo...
  12. chugamaica

    KKKT haya mahubiri ya Upendo Tv kuhusu siasa ni msimamo wa kanisa au wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani?

    Askofu wake siyule aliyeongoza kwa awamu mbili kwenye hiyo dayosisi akarudi tena kugombea kipindi kingine?malasusa ni askofu ambae sikuwahi kuvutiwa nae kabisa katika uongozi wake nimamluki wa ccm
  13. chugamaica

    Nahitaji kununua mashine ya kusaga chakula cha kuku

    Kilo ya mifupa bei gani?
  14. chugamaica

    Leo hii nashawishika kupingana na mitazamo ya watu wengine juu ya kiongozi wa CHADEMA Freeman Mbowe

    Mnapambana na vyama vya upinzani mbowe ni mwenyekiti wa kudumu
  15. chugamaica

    Kati ya Iringa Mjini na Moshi Mjini, mji gani unakua zaidi?

    Nyie wote mnaochangia ni mapunguani kabisa hasa nyie wenye mirengo ya kusini huwezi fananisha mkoa na mjini wa moshi washenzi nyie mm nataka mje na hoja zenye mashiko hapa ongeleeni mkoa wa Kilimanjaro kwann watu wake wako mbele zaidi yetu? Iringa yote majumba mazuri karibu yote ni watu wa...
Back
Top Bottom