chugamaica
JF-Expert Member
- Dec 17, 2018
- 218
- 129
Hiyo ni biashara ya kitoto sana miaka 12 unategemea miti !
mkuu Njombe ni level nyingine haina matajiri wakubwa sanaa ila watu wa milioni milioni ni wengi sana na kama seriakali ingefanya kazi yake basi Njombe ingekuwa mbali.Standard seven wengi wana CASH mbaya mtoto wa miaka kumi tatu anamiliki ekari mbili au tatu za miti ya mbao akifika miaka ishirini tano au sita tayari msitu ushakua akiuza anapata zake more that ten milioni mtaji tayari watu wanabaki kulia lia na ushirikina lakini watu wameshatembea nenda kaone Nyumba zinazojengwa vijijin sasa hivi pamoja na soko la mabo kuvurugwa