Nahitaji kununua mashine ya kusaga chakula cha kuku

Nahitaji kununua mashine ya kusaga chakula cha kuku

House of Commons

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2013
Posts
2,189
Reaction score
2,213
Sasa nahitaji vitu viwili tu. Nataka kununua mashine ya kusaga chakula cha kuku,naomba msaada, hizi zina tofauti na mashine zingine za kawaida? Nitapata wapi hasa mashine hii,bei yake ni ipi kwa mashine za kawaida zinazoweza kusaga tani 2 kwa mwezi. Mjasiliamali aliye na uelewa kwa swala hili naomba anisaidie kunipa elimu ya aina na aina za hizi mashine na bei zake.Naweza kunipm pia
 
Sasa nahitaji vitu viwili tu. Nataka kununua mashine ya kusaga chakula cha kuku,naomba msaada, hizi zina tofauti na mashine zingine za kawaida? Nitapata wapi hasa mashine hii,bei yake ni ipi kwa mashine za kawaida zinazoweza kusaga tani 2 kwa mwezi. Mjasiliamali aliye na uelewa kwa swala hili naomba anisaidie kunipa elimu ya aina na aina za hizi mashine na bei zake.Naweza kunipm pia

agiza kutoka china. hata mimi nilitaka kununua. Machineyenye hammer na mixer about usd 8000 hadi tanzania
.
 

Attachments

  • SAM_2237(1).jpg
    SAM_2237(1).jpg
    38.2 KB · Views: 962
  • plant.png
    plant.png
    132.5 KB · Views: 997
Hakuna wadau wa SIDO humu jamvini waweke bei na picha?
 
Sasa nahitaji vitu viwili tu. Nataka kununua mashine ya kusaga chakula cha kuku,naomba msaada, hizi zina tofauti na mashine zingine za kawaida? Nitapata wapi hasa mashine hii,bei yake ni ipi kwa mashine za kawaida zinazoweza kusaga tani 2 kwa mwezi. Mjasiliamali aliye na uelewa kwa swala hili naomba anisaidie kunipa elimu ya aina na aina za hizi mashine na bei zake.Naweza kunipm pia

Mkuu je soko lipo kwa watengenezaji wa chakula hiki cha kuku
 
mimi nahisi soko linatafutwa mkuu ,lazima uwe na marketing strategies ambazo zina include ,pricing ,distribution channel , ushauri kwa wafugaji , na delivery kwa mtu kulingana na ukubwa wa order ,quality ,na jinsi unavyojitangaza.....pia usisahau diversification usi base kwenye kuku tu weka na cha kitimoto ,ng'ombe ,....
 
Sasa nahitaji vitu viwili tu. Nataka kununua mashine ya kusaga chakula cha kuku,naomba msaada, hizi zina tofauti na mashine zingine za kawaida? Nitapata wapi hasa mashine hii,bei yake ni ipi kwa mashine za kawaida zinazoweza kusaga tani 2 kwa mwezi. Mjasiliamali aliye na uelewa kwa swala hili naomba anisaidie kunipa elimu ya aina na aina za hizi mashine na bei zake.Naweza kunipm pia

Wadau na wafugaji

Ninazo mashine ndogo za kusaga na kuparaza ingredients zote za mifugo kama mahindi, dagaa., mashudu ya pamba na alizeti, mifupa, majani na nyasi kavu

Mashine hii inauwezo Wa kuprocess chakula cha mifugo 130kg/hour inatumia Umeme Wa single phase .... nguvu ya motor ni 2.2 KW ..... ina cheke cheke a in a tatu tofauti ni movable kuipeleka sehemu yeyote uliyopo nyumbani au kwenye shamba LA mifugo

pia waweza kuitumia kutengeneza au kusaga Mbolea ya halisi ya samadi ya kuku na ukiwa na mashine ya pellet unaweza tengeneza Organic pellet manure ambapo pellet machine unapatikana kwa order pia

tuwasiliane kwa details zaidi na bei

nitaweka picha ya mashine soon
 
Sasa nahitaji vitu viwili tu. Nataka kununua mashine ya kusaga chakula cha kuku,naomba msaada, hizi zina tofauti na mashine zingine za kawaida? Nitapata wapi hasa mashine hii,bei yake ni ipi kwa mashine za kawaida zinazoweza kusaga tani 2 kwa mwezi. Mjasiliamali aliye na uelewa kwa swala hili naomba anisaidie kunipa elimu ya aina na aina za hizi mashine na bei zake.Naweza kunipm pia


mkuu nenda shekilango nyuma ya shoprite wKo pale wachina wanauza hzo machine na nyinginezo nyingi na kutoa elimu ya kutosha
 
Mkuu na mie nasubiri details hapa
Wadau na wafugaji

Ninazo mashine ndogo za kusaga na kuparaza ingredients zote za mifugo kama mahindi, dagaa., mashudu ya pamba na alizeti, mifupa, majani na nyasi kavu

Mashine hii inauwezo Wa kuprocess chakula cha mifugo 130kg/hour inatumia Umeme Wa single phase .... nguvu ya motor ni 2.2 KW ..... ina cheke cheke a in a tatu tofauti ni movable kuipeleka sehemu yeyote uliyopo nyumbani au kwenye shamba LA mifugo

pia waweza kuitumia kutengeneza au kusaga Mbolea ya halisi ya samadi ya kuku na ukiwa na mashine ya pellet unaweza tengeneza Organic pellet manure ambapo pellet machine unapatikana kwa order pia

tuwasiliane kwa details zaidi na bei

nitaweka picha ya mashine soon
 
Wadau na wafugaji

Ninazo mashine ndogo za kusaga na kuparaza ingredients zote za mifugo kama mahindi, dagaa., mashudu ya pamba na alizeti, mifupa, majani na nyasi kavu

Mashine hii inauwezo Wa kuprocess chakula cha mifugo 130kg/hour inatumia Umeme Wa single phase .... nguvu ya motor ni 2.2 KW ..... ina cheke cheke a in a tatu tofauti ni movable kuipeleka sehemu yeyote uliyopo nyumbani au kwenye shamba LA mifugo

pia waweza kuitumia kutengeneza au kusaga Mbolea ya halisi ya samadi ya kuku na ukiwa na mashine ya pellet unaweza tengeneza Organic pellet manure ambapo pellet machine unapatikana kwa order pia

tuwasiliane kwa details zaidi na bei

nitaweka picha ya mashine soon

Mkuu tunakusubiri!
 
MIFUPA
Tunauza mifupa inayotokana na wanyama kama vile ng'ombe, mbuzi nk
MATUMIZI
1. Inatumika kutengeneza chakula cha mifugo, kama vile kuku, kanga, bats ,nk
2. Kutungenezea sahani za mifupa
TUNASAMBAZA
1. Kilo moja hadi tan ya kilo za mifupa
YEYOTE ANAYETAKA KWA SHUGHULI YOYOTE
Mawasiliano
0627908738
0685876284
 
MIFUPA
Tunauza mifupa inayotokana na wanyama kama vile ng'ombe, mbuzi nk
MATUMIZI
1. Inatumika kutengeneza chakula cha mifugo, kama vile kuku, kanga, bats ,nk
2. Kutungenezea sahani za mifupa
TUNASAMBAZA
1. Kilo moja hadi tan ya kilo za mifupa
YEYOTE ANAYETAKA KWA SHUGHULI YOYOTE
Mawasiliano
0627908738
0685876284
 
Kilo ya mifupa bei gani?
MIFUPA
Tunauza mifupa inayotokana na wanyama kama vile ng'ombe, mbuzi nk
MATUMIZI
1. Inatumika kutengeneza chakula cha mifugo, kama vile kuku, kanga, bats ,nk
2. Kutungenezea sahani za mifupa
TUNASAMBAZA
1. Kilo moja hadi tan ya kilo za mifupa
YEYOTE ANAYETAKA KWA SHUGHULI YOYOTE
Mawasiliano
0627908738
0685876284
 
Hiyo biashara ya mifupa itahitaji a very close follow up tofauti na hapo tutegemee makaburi kufukuliwa na wahuni kama ilivyo kwa vyuma chakavu na uharibifu hadi wa miundombinu ya barabara.
 
Back
Top Bottom