Lissu: Nitakutana na viongozi wa Serikali na wabunge wa Marekani

Hawezi hana effect yoyote huyo mzururaji tuu.
Visa inaisha soon,tutampokea hapo kipawa apende asipende.
Hana impact yoyote EU kwani atakua tegemezi hawezi fanya kazi kulipa kodi.
Kuendelea kukaa aombe asylum tu atapewa ila akubaliane Na masharti.
Upoyoyo wake mi wakili msomi,sijui mp niliyepokonywa ubunge baada ya kupigwa risasi 38 who cares?huko box ni box na akirudi huku kadanse ya JPM inamsubiri.
Patamu hapo,na somo lipo STFM.
 
Crap...

Watu wengine sijui JF huwa mnatafuta nini, yo fuckin no close of being a GT
Kukuadabisha wewe uache kuua watu wasio na hatia na kudhulumu mali zao. Wizi muibe nyie muuze mali za umma na mnajidai WAZALENDO
 
Lissu Ndiye Rais Ajaye Wa Tanzania Mtake Msitake' Wakala Wa Mabeberu Ni Ccm Na Magufuli Waliouza Nyumba Za Umma Zaidi Ya 8000, Wakauza Madini Miaka Nenda Miaka Rudi, Wakauza Gesi, Wakaifilisi Tanesco Kupitia IPTL, RICHMOND na DOWANS.
Eti Unapambana Na Ufisadi Unawachekea Kipara Na Jk Unafiki Mtupu.
Kuna Siku Tutawashugulikia.
Hapo ndo utajua uwezo wa watz kufikir. Yote hayo yalifanyika wakati waliopo madarakan ndo walikuwa wanagonga meza bungeni kuunga mkono hoja. Leo eti wanapambana na mafisadi. Kwann na wao wasirudishe posho za vikao vya bunge ambavyo na wao walikuwemo mfano mheshimiwa ambae madudu yote yalipitia bungeni na yeye alikuwemo. Au hajui kulipwa pesa pasipohalali ni ufisadi pia? Kufanya maamuzi yaliyosababishia taifa hasara halafu leo eti unanishawishi nikuite mzalendo? Wakati wao ndo waliwawakili mabeberu. Muogopeni mungu wenu hata kama ni mti.
 
Ahsante kwa taarifa ndugu Lissu.
Lakin ningependa kufaham kama ziara hiz zina mafungamanonyoyote yenye maslahibchanya kwa taifa au chama cha demokrasia na maendele au hata maslahi kwetu sisi tunaokufuatilia.
Mapambano hayo unayoendelea nayo ni yapi hasa na yanamlenga nani??..
Bon Voyage.
 
Unatuchafulia uzi mwehu wewe
Lisu kwa sasa namuona Kama mtoto alieshindikana kwao harafu akatoroka nakuanza kufanya Mambo ya ajabu ili wazazi wake wakisikia wamuhurumie wamwambie rudi nyumbani. Na Kama Kuna mtu ashapoteza uelekeo wa siasa Ni huyu mtu anaejiita lisu.. pumba kabisaa
 
Visa inaisha soon,tutampokea hapo kipawa apende asipende.
Hana impact yoyote EU kwani atakua tegemezi hawezi fanya kazi kulipa kodi.
Kuendelea kukaa aombe asylum tu atapewa ila akubaliane Na masharti.
Upoyoyo wake mi wakili msomi,sijui mp niliyepokonywa ubunge baada ya kupigwa risasi 38 who cares?huko box ni box na akirudi huku kadanse ya JPM inamsubiri.
Patamu hapo,na somo lipo STFM.
Akili ya kipunguani kabisa hii
 
Mwaka 2001-2005 nilikiwa nikiishi USA kwa shughuli zangu binafsi. Kwa USA wanaheshimu sana Taifa lao zaidi ya kitu chochote. Uwe mzawa au hata mgeni ukisikika unaisema kwa mabaya USA kukupoteza ni dakika moja

Hii haiishii kwa wanaoishi USA peke yao, lakini hata ikibainika Taifa lolote lina njama yoyote ya kuidhoofisha USA wako tayari kutumia uwezo wao wa aina yoyote kulipoteza Taifa hilo.

Hivyo Tundu Lisu asidhani kwamba waamerika wanafurahia kwa tabia zake. Kwani kwa tabia zake kamwe hawezi kupewa hifadhi America. Pamoja na kwamba wao wanawapenda sana vibalaka wa aina ya Tundu Lisu lakini siyo kwa kuwakaribisha waishi nchini kwao. Wakijua kwamba jasiri haachi asili.
Kwahiyo unataka kutuaminisha nini wewe nyau? Lissu anaisema vibaya nchi au anaongea ukweli halisi juu wa utawala wa ki imla tulionao?
 
Lisu kwa sasa namuona Kama mtoto alieshindikana kwao harafu akatoroka nakuanza kufanya Mambo ya ajabu ili wazazi wake wakisikia wamuhurumie wamwambie rudi nyumbani. Na Kama Kuna mtu ashapoteza uelekeo wa siasa Ni huyu mtu anaejiita lisu.. pumba kabisaa
Umesahau huyo Mtoto kupigwa Risasi na Wazazi wake
Hili mnajisahaulisha Sana Mbweha na Mashetani nyie
 
Mke wake anatia huruma! Kuolewa na jitu kama hilo. Sasa amekuwa mkimbizi, masikini! Dreva wake naye kawa mkimbizi, kaacha familia yake. Passport zao za Tanzania zimefutwa. Wao si diaspora bali wakimbizi. Wanasubiri CCM itakapotoka madarakani ndipo warudi Tz, kitu ambacho kigumu kutokea labda baada ya karne moja. Pathetic!

Note: Hakuna atakaye televise hiyo mikutano yake. At least kwenye online media za hapa nchini zilizosajiliwa na TCRA. Hivyo ataonekana na machagudoa wa ugaibuni tu! Watu wa maana huko ugaibuni hawatahangaika naye kwani he is nobody but one post traumatic schizophrenia patient who needs phychiatric treatment.
 
Una hasira nae, baada ya kutoboa siri jinsi ulivyomlaza baba junior sebuleni ukimlazimisha ajiuzulu.
Hayo yalishaisha punguzeni vinyongo na visasi
Unamatatizo. Adhabu na mateso aliyopitia ni malipizi tosha ya kinywa chake.
Kama Mpaka hapo bado ajajifunza ndiyo maana namuonea huruma.
Mwisho he has proved himself as a failure in everything he is doing.
1. Ben Sanane
2. Fatma Karume
3.,,,,,,,,
Ukiwa na followers ambao mwisho Wao unakuwa ovyo that means you are not a visionary leader.
 
Unamatatizo. Adhabu na mateso aliyopitia ni malipizi tosha ya kinywa chake.
Kama Mpaka hapo bado ajajifunza ndiyo maana namuonea huruma.
Mwisho he has proved himself as a failure in everything he is doing.
1. Ben Sanane
2. Fatma Karume
3.,,,,,,,,
Ukiwa na followers ambao mwisho Wao unakuwa ovyo that means you are not a visionary leader.
Acha porojo ulituahidi shule iko wapi? ubalozi utaisha atarudi uswazi_ wakati huo Lisu ni presidaa wetu weka akiba ya maneno.
 
Kaandika hivi kupitia twitter:

Jana nimeanza ziara nchini Marekani, itakayonichukua hadi tarehe 13 ya mwezi huu. Niko Atlanta, Georgia, hadi tarehe 6; kati ya tarehe 7 na 9 nitakuwa Washington DC, na kati ya tarehe 10 na 12 nitakuwa Houston, Texas.

Nitakutana na viongozi wa Serikali na wabunge wa Marekani; taasisi za kimataifa na sekta binafsi; vyombo vya habari; pamoja na Watanzania waishio Marekani.

Nitarudi Ulaya tarehe 14 na kati ya tarehe 15 na 20 nitakuwa na ziara ya aina hiyo hiyo Ujerumani. Kwa hiyo, mapambano yanaendelea.
Mapambano gani mjinga wewe. Huna uzito wowote kisiasa..tuone kama hujabaunce kama mwanzo. Unafikiri jazba na kuropoka uongo watu hawagundui? Watakaokuja kukusikiluza mashoga tu kuona namna wanaweza kukutumia kueneza uhuru wa watu kufanya ushoga.
 
Huyu ndio kwanza watu watapata uhakika ni mtu mchumia tumbo tu. Kibaraka wa ubeberu hadi mashoga wamemuweka mfukoni. Eti anafikiri wazungu ndio watamuweka rais wa tz.
 
Usijidanganye kwamba Marekani yote attention ipo kwa impeachement ya Trump, no! Kuna taasisi zinafanya kazi. Mgawanyo wa majukumu. Narudia, usijidanganye
US both houses of Senate & Congress currently wako busy na issue ya Trump impeachment, Lissu atapewa little attention, those who are following current political news in US watanielewa.. Trump impeachment process ndio imeshika kasi huko. Anyway acha aende ni haki yake na huenda atapata misaada yake binafsi

 
Big up.
Hakuna namna. Hata kama wamarekani siyo watu wazuri kwetu kwa maana ya ubaguzi wa rangi, lakini tutafanyaje lazima tuwaambie siasa yetu ilivyo.
Ikibidi hata China ukipata nafasi go and tell them.

Watu wanakataza uhuru wa kujieleza, wanabomoa vyama vya siasa wanashindwa fahamu kama kusingekuwa na strong political parties wasingeupaya hata huo urais.
Uhuru wa kujielezea? Yet upo hapa unaandika haya?

Ni uhuru wao wanasiasa ndio wanaopigania, maana sisi uhuru upo.. mwingi tu..
 
Back
Top Bottom