Recent content by Christopher Cyrilo

  1. Christopher Cyrilo

    Israel vs Iran - 2

    ISRAEL vs IRAN - 02 Sehemu ya 2 Na Dr. Chris Cyrilo Mapinduzi ya mwaka 1979 yaliyoondoa utawala wa Shah, na kuifanya Iran kuwa chini ya utawala wa kiislamu wa dhehebu la Shia, yalifuta ndoto ya Iran kupata silaha za kinyuklia. Utawala wa kishia, uliokuwa chini ya Ayatolla Khomeini ulijikuta...
  2. Christopher Cyrilo

    Israel Vs Iran

    ISRAEL vs IRAN -01 Nimetamanani kuleta makala hii kutoka kwenye kitabu changu cha ISTILAHI ZA UHALIFU NA USALAMA, ili watu wajifunze na kujadili wakiwa na taarifa ambazo naamini awaki hawakuwa nazo. Dr. Chris Cyrilo Sehemu ya I Ndani ya jengo la makao makuu ya shirika la kijasusi la Mossad...
  3. Christopher Cyrilo

    Jengo la Maalim Seif Makao Makuu ya ACT Wazalendo

    Jengo la Maalim Seif sio mali ya ACT Wazalendo, ni mali ya Maalim Seif. Enzi za JPM jengo hilo liliporwa kutoka kwa Naalim wakapewa CUF ya Lipumba. Mama Samia amerudisha kwa Maalim, ambaye alishahamia ACT. Kwa sasa jengo lipo chini ya Maalim Seif Foundation, na chama cha Maalim Seif (ACT)...
  4. Christopher Cyrilo

    Istilahi za uhalifu na usalama

    Mei 1998, Andrew Chenge, akiwa mwanasheria mkuu alihalalisha (Authorized) malipo ya dola 600,000 kwenda kwenye akaunti ya kampuni iliyoitwa Langley Investments Limited, kampuni iliyomilikiwa na aliyekuwa gavana wa benki kuu ya Tanzania, Dr. Idrissa Rashidi. Gavana Dr. Rashidi ndiye alikuwa na...
  5. Christopher Cyrilo

    Serikali ina matumizi gani na wanafunzi walionaliza kidato cha 4 kabla ya 2020?

    BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE) NA MKANGANYIKO WA UDAHILI WA WANAFUNZI WA MKUPUO WA MACHI, 2021. JE, WATENDAJI WAKE WANAPINGANA NA MAONO YA RAIS WA NCHI ? Kwako Waziri Pro. Joyce Ndalichako! Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa Sheria ya Bunge...
  6. Christopher Cyrilo

    Uchunguzi wa Kimahakama

    Sayansi haisemi uongo, Ila uongo unaweza kujitengenezea sayansi yake. Uchunguzi wa kimahakama wa matukio ya uhalifu ni uchunguzi wa kisaynsi unaolenga kukusanya ushahidi usio na shaka na kisha kuwapata wahalifu. Taaluma hii ni ngumu, tofauti na inavyoonekana kwenye filamu na riwaya. Kanuni moja...
  7. Christopher Cyrilo

    ISTILAHI ZA UHALIFU NA USALAMA

    [emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Christopher Cyrilo

    ISTILAHI ZA UHALIFU NA USALAMA

    Asante sana, nipo salama sasa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Christopher Cyrilo

    ISTILAHI ZA UHALIFU NA USALAMA

    Techint/Technical Intelligence; Katika istilahi za kiusalama neno Techint humaanisha intelijensia ya silaha na vifaa vingine vya kivita vinavyotumiwa na nchi zingine. Ili taifa moja liweze kujilinda vema ni lazima kuwe na utaratibu wa kufuatilia maendeleo ya teknolojia ya silaha katika nchi...
  10. Christopher Cyrilo

    Nadhiri isiyo takatifu

    sijui Kama wewe ni mzee au kijana kwa sababu unatumia 'avatar' , na sina shahuku wala hamu ya kukujua upo wapi. Lakini nikujulishe, Mimi ni Daktari niliyehitimu chuo kikuu cha afya na sayansi shirikishi Muhimbili.
  11. Christopher Cyrilo

    Nadhiri isiyo takatifu

    NADHIRI ISIYO TAKATIFU |Umuhimu wa kutunza kumbukumbu na umuhimu wa teknolojia katika uchunguzi wa matukio ya uhalifu. Kitabu: Istilahi Za Uhalifu Na Usalama: Sura ya 4: uk. 77 Na. Dr. Chris Cyrilo Somo simulizi Miongo miwili baada ya Adolf Hitler kuiingiza Ulaya katika vita kuu ya pili ya...
  12. Christopher Cyrilo

    CHADEMA inahitaji viongozi wa aina gani nyakati hizi?

    CHADEMA INAHITAJI VIONGOZI WA AINA GANI KWA SASA? (Andiko hili lina chembe za ushetani ndani yake) Haya ni maoni yangu binafsi juu ya aina ya viongozi wanaohitajika kwa faida ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, kwa kutazama mfumo wa utawala uliopo nchini Tanzania kwa sasa, lakini pia kwa...
  13. Christopher Cyrilo

    Ukomo wa uenyekiti Chadema ni tofauti na ukomo wa Urais Tanzania

    Kuna vijana wanajadili kuhusu ukomo wa uwenyekiti wa Mh. Mbowe ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) halafu wanahusisha na ukomo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wanadai kwamba kitendo cha baadhi ya vijana wa Chadema kutaka Mbowe aendelee basi kinawapunguzia nguvu ya...
  14. Christopher Cyrilo

    Chonde Kanisa Katoliki, historia inatuhukumu

    Bro nakuonea wivu kwa moyo wa ajabu. Unatumia nguvu kubwa kumuelewesha mtu 'anayejua kila kitu'. Mimi nisingemjibu huyu.
  15. Christopher Cyrilo

    Chonde Kanisa Katoliki, historia inatuhukumu

    CHONDE VIONGOZI WA KANISA KATOLIKI - HISTORIA INAWASUTA. "Viongozi wa dini kuhamasisha watu kupiga kura wakati huu, ni sawa na kuchochea chuki" Hali ya maisha katika nchi za mashariki ya kati ndio mfano halisi wa mambo makuu matatu yanayoweza kumfanya binadamu aamue kwa hiari yake kuondoa...
Back
Top Bottom