Black Mirror
JF-Expert Member
- Oct 17, 2019
- 836
- 1,047
Ngoja nitarudi tena
Warudi kivipi acheni kijichetua waambie ccm wawarudishe wagombea wao yaan mmewakata wagombea wao afu mnataka warudi kupiga kivuli pumbaafuuKamanda mmeshauriwa mrudi uwanjani mnaleta dua la kuku.Bure kabisa
Yaani kupigana wapigane wao kwa ujinga wa kuendekeza ukabila halafu lawama ziende kwa kanisa katoliki! Ujuha ndio huu.RC historia yao hapo jirani Rwanda tunaijua. Hili kanisa linanuka damu za Watusi na Wahutu. Kule Songea hili kanisa kina Songea Mbano walikuwa wanabatizwa na padri kisha wananyongwa
Kanisa Katoliki ni wauaji wakubwa from time immemorial
Sasa kwanini unauzungumzia Uislamu?
wakiongea CCM vigelegee kwa NZI WA KIJANI/UVCCM/WALAMBA NYAYO wakiongea UAMSHO vilio kwa NZI WA KIJANI?Kwa nini wakiongea kkkt ni vigeregere kwa bavicha na wakiongea rc ni full povu kw bavicha?
Bro nakuonea wivu kwa moyo wa ajabu. Unatumia nguvu kubwa kumuelewesha mtu 'anayejua kila kitu'. Mimi nisingemjibu huyu.Nimeona kwa macho yangu pale ICRT mapadri wakikiri kushirikiana na wauaji. Makumbusho ya ufedhuli wao yako pale Kisongo. Una swali lingine?
Huwa sasa hawakubali, inabidi hata umletee speech za PAPA wao akikiri kuwa mapadre wanakula watoto wadogo nyuma na watoto mabikra, kwenye media huwa wanatumia neno laini UDHALILISHAJI WA KINGONO lakini kiswahili kilicho nyooka ni ufira33Bro nakuonea wivu kwa moyo wa ajabu. Unatumia nguvu kubwa kumuelewesha mtu 'anayejua kila kitu'. Mimi nisingemjibu huyu.
Peleka huko upuuzi wa ugaidi wenu wa kiislamuNiliandika miaka mingi na nikaweka links za ushahidi uharamia unaofanywa na Kanisa Katoliki.
Licha ya ushiriki wao mauaji ya kimbari Rwanda pia wanashiriki katika kila uhalifu wa kutisha kuanzia kulawiti watoto wadogo, mapadri na makasisi kulawitiana wao kwa wao ndani ya pazia la kanisa. Kutakatisha frdha chafu, kujihusosha na magendo na ufisadi mkubwa mkubwa duniani.
Hili kanisa ni janga la Kimataifa. Nawashangaa wanaolishabikia.
Hakika dini kwa Mwenyeezi Mungu ni Uislam.