Recent content by chrispaulas son

  1. chrispaulas son

    Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

    JAMANI NAOMBA KUULIZA KUNA MAKALA NMEIONA KWENYE GAZETI FULANI NATAKA NIILETE HAPA NA NYIE WENZANGU MUIONE NI NZIRI SANA INAFUNZO KUBWA..SWALI LANGU NI NATAKA NIIKOPI HUKU SHERIA ZA KUKOPI KAZI YA MTU ZIKOJE NAOMBA MSAADA NISJE HUKUMIWA BADAYE..MKUU THE BOLD NAOMBA MSAADA
  2. chrispaulas son

    Ben Pol: Nilichokilenga kimefanikiwa

    halafu hata haihusiani na madai yke ya kwamba anatoa wimbo unaohusu kutekwa alikuwa anajaribu kujtetea tu
  3. chrispaulas son

    Ben Pol: Nilichokilenga kimefanikiwa

    kuna watu ambao wmezoea kufanya hivyo na wangefanya wao hata tusingeshituka ben pol ndo mtu pekee ambaye jamii ilimtegemea kama kiyoo bora kwa watoto na wakubwa ndio maana watu wamereact vibaya...
  4. chrispaulas son

    Ben Pol: Nilichokilenga kimefanikiwa

    umeongea point ndugu yani kama hata benpol amefikia huko mtu ambaye ndo alikuwa katika kundi la wchache wenye mfano bora kwa jamii amefanya hvyo daah inasikitisha sn
  5. chrispaulas son

    Ben Pol: Nilichokilenga kimefanikiwa

    mbona nyimbo zote alizoimba hakupiga picha yoyote na zilikubalika iweje hii..tatizo wasanii wetu wanaishi kwa kiki ubunifu ziro
  6. chrispaulas son

    Ben Pol: Nilichokilenga kimefanikiwa

    ucha kuwa mtumwa wa fikra ndugu unaposema kwenye nchi za wenzenu hv vtu ni vya kawaida hii ni tanzani jifunze kusimamia tamaduni na taratibu za taifa lako kwanin uishi maisha ya jirani yko wakati wewe unamisha yko mambo ya kuiga yanatupoteza ndo mana hata muziki wetu unakosa soko la kimataifa...
  7. chrispaulas son

    Pita hapa tujikumbushe Tv series zilizotamba

    yani tkea nmeanza fuatli hz tamthilia cjawahi ona tamthilia kma the promis na the long weit nmeona nying lakn hzo ni moto wa kuotea mbali
  8. chrispaulas son

    The Other Half (Simulizi)

    tunaiomba hyo tovuti jaman
  9. chrispaulas son

    Prof Ndalichako: Wataalamu waliochapisha vitabu vyenye makosa kimaudhui kukiona

    hii ndo nchi onaayoongozwa na mtukio mpka tupate matatizo ndo wtu wachukue hatua...wanafunzi wamekufa ndo selikari ankumbuka kukagua magari ya shule ni mpka watu wamekufa..sasa jiulize hv vtabu vimwaathili.wtu wangapi kwa miaka.mongapi tume zilozokuwa zinaundw kila siku zlifanya kaz gan..hii...
  10. chrispaulas son

    Sikujua kama wasemaji wa sasa wa CHADEMA ni Lowassa na Makongoro Mahanga

    Lowasa anasema hii nchi inabidi itawaliwa na chama kongne inatkiwa tufanye mageuzi cyo kila soku CCM tu...swli langu ni kwamba alpokuwa ccm hakuyajua haya ndo anayajua leo au ndo unafiki wa kisiasaaa amekaa CCM zaid ya miaka 20 na kuitetea hyo ccm na alikuwa kiongoz mkubwa kweli hii nso Tanzagizaaa
  11. chrispaulas son

    Tangu ujiunge jf umefaidika na kupungukiwa na nini?

    asee nmapata elimu sna kuptia liwaya na mkala mbali mbali mgano INTERNATIONAL SPACE..UTATA KUHUSU KIFO CHA JF KENNEDY NA KUHSU MUAMAL GADAFI..niksoma hzo.mamboo naburudka sna yaani.
  12. chrispaulas son

    Hii ndio international space station(ISS).

    nmekubali xana huu uzii..ila pale juu ungeanza na introfuction kamili kuhusu hyo space..cz wtu wengi hawajui hcho kitu ni nini ila umefanya poa sana
Back
Top Bottom