Wadau naombeni msaada nna msichana anatishia kujiua mara kwa mara kila tukitaka kuachana alishatishia mara ya kwanza ikabidi tuludiane coz naogopa. sasa shreia itanilindaje endapo atajiua na ataacha ujumbe kuwa amejiua kwasababi ya mimi. au nifanyaje jamani nisiingie hatianii. pliz najuta
nenda mbele rud nyuma dogo kazana na Masomo ya science hasa PCB then utasoma coz yeyote ya afya dogo iyo itakutoa sana tunavozid kwenda watu wanajali afya zao 99% ya watu ote wanaogopa kifo so dogo kaba hapo hapo kwe uoga wao all the best
Kuna suala la biashara kwe his OS mazee thts y bbm huez pata kwe sim ingine zaid ya BB. Hii SPC(super private conversation) nimetafuta kwe BB, iphone na symbian kote sijaipata na nimeamua kulud kwe adroid if ua using adroid na dem wako anamchezo wa kupekua pekua cm yako plz download spc(super...
Nimetumia Os nyingi sana mazee toka kipindi cha java nkaja symbian, adroid, apple, bb os, but now nimerud tena kwe adroid. Kuna apps kama SPC hii app nikali kwa vicheche haipatikan kwe iphone yeyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.