Mimi ni kijana wa kidato cha pili. Ninayamudu karibu masomo yote. Mwaka kesho nitalazimika kuyaacha masomo ya biashara au ya sayansi. Ninategemea kuhitimu chuo kikuu mwaka 2021, ninaomba ushauri kutoka kwa waona mbali, nifani gani itakuwa na soko mwaka 2021?
Mimi ni kijana wa kidato cha pili. Ninayamudu karibu masomo yote. Mwaka kesho nitalazimika kuyaacha masomo ya biashara au ya sayansi. Ninategemea kuhitimu chuo kikuu mwaka 2021, ninaomba ushauri kutoka kwa waona mbali, nifani gani itakuwa na soko mwaka 2021?
Mimi ni kijana wa kidato cha pili. Ninayamudu karibu masomo yote. Mwaka kesho nitalazimika kuyaacha masomo ya biashara au ya sayansi. Ninategemea kuhitimu chuo kikuu mwaka 2021, ninaomba ushauri kutoka kwa waona mbali, nifani gani itakuwa na soko mwaka 2021?
Muombe Mwenyezi Mungu kila uionapo kesho, Hauna mkataba na Mwenyezi Mungu.
Mimi ni kijana wa kidato cha pili. Ninayamudu karibu masomo yote. Mwaka kesho nitalazimika kuyaacha masomo ya biashara au ya sayansi. Ninategemea kuhitimu chuo kikuu mwaka 2021, ninaomba ushauri kutoka kwa waona mbali, nifani gani itakuwa na soko mwaka 2021?
Muombe Mwenyezi Mungu kila uionapo kesho, Hauna mkataba na Mwenyezi Mungu.
kwanza hongera kwa hayo mawazo maana ni wachache wanawazo hivyo. ni shida kumwelekeza mtu anapotaka kwenda kama hujia anaenda wapi? Kitu cha kwanza cha kufahamu toka kwako mtoto(sio kijana wewe kila aliyeko chini ya 18 ni mtoto, na 4m two wa leo wakizidi sana ni 15) kabla ya kukushauri ni
je ni unataka kuwa na fani gani hapa baadaye?
Kwa nini unataka kuwa hivyo?
Baada ya wadau kujua hayo mawili hapo juu, kulingana na uzoefu walio nao hakika utapata ushauri mzuri wa kukusaidia. Hii ni kwa sababu hapa ushauri utakaoupata utakuwa wa jumla na unaweza usikidhi haja yako(your interest) kwa sababu sio kila dawa inatibu ugonjwa wowote, ila dawa maalum kwa ugonjwa maalum.
Huu ni mtazamo wa VOW na si sheria.
jeshi,,,huon tishio la malawi hiyo ndiyo shule na ajira ya kishujaa,,watapiga domo weeee mwisho ngondo wanaume kazini,,hamna zcha igondi,,,kova ,,msangi wala magwepande,,au,,kujinyonga bila kutapatapa huko morogor,,,kaza buti dogo,,,,,,,Maneno gani sasa hayo? Niache kupanga mambo yajayo kwa kuwa kuna kufa? Je nisipokufa? Ndio maana nchi hii haiendelei watu hawafikirii miaka 20 ijayo, wanawaza leo tu!