baada ya simu za java na symbian now tujaribuni kutumia vodacom free internet kwa android.
Ch kwanza download operamini apk handler kutoka link hio apo chini
Next Generation Mobile Software
Hio opera ina trick 2 za kupata net bure.
trick ya 1
Tengeneza setting hizi katika simu yako
Unaweza tumia existing access point au ukacreate new access point
Access point name (apn) eka internet
Ip eka 80.239.242.253
Port eka 80
Ukimaliza fungua opera handler yako uliyo download
Shuka chini proxy type eka http na proxy server andika 0.facebook.com
Ur done enjoy free net
trick ya 2
Trick hii ni rahisi tumia access point yako ya kawaida halafu fata maelezo haya
Uta open opera hadler ulodownload
Proxy type eka real host
Proxy server eka 0.facebook.com
Ur done enjoy free net
NOTE: trick ya kwanza ni ngumu kueka ila ina faida unadownload files kubwa (zaid ya mb 100)
Trick ya pili ni rahisi ila utadownload file ndogo kama miziki na short clips mb 5 hivi
Nadownload io opera inazingua, my phon ni galax s1 v2.3.6
It is workng bro am using ideos, thanks
Nimefungua ila inaonyesha nijaze maneno hya
FRONT QUERY-----
MIDDLE QUERY----
BACK QUERU-------
FILTER----
ADD PORT TO NON PORT URL
PROXY TYPE----
PROXY SERVER----
MI NA2MIA GALAX POCKET S5300
Jamani mi natumia Nokia X2 01 nikidownload haionyeshi chochote naombeni msaada
ingia hapa badala 0.facebook.com eka m.twitter.com
https://www.jamiiforums.com/jf-stor...-internet-kwa-mobile-users-9.html#post3914506
Sorry kwa kutoka nje ya topic mkuu chief,nilikuwa naomba unisaidie ile opera mini 7 ya s60v3 inayoweza kudownload kwa voda na settings kama hutojali...
Ile ya kwanza ilimodiwa na zero dot fesibuku ikabuma,
Hii hapa imemodiwa na tizediafricalive kaimod mgeni now ndo ipo mbion kukata roho
opera_7.0_next_s60v3v5_voda_mod_by_mgeni.sis | 418320
Proxy utaeka 80.239.242.253
Ile ya kwanza ilimodiwa na zero dot fesibuku ikabuma,
Hii hapa imemodiwa na tizediafricalive kaimod mgeni now ndo ipo mbion kukata roho
opera_7.0_next_s60v3v5_voda_mod_by_mgeni.sis | 418320
Proxy utaeka 80.239.242.253
Nashukuru sana mkuu chief-mkwawa,inapiga kazi murua kabisa...
I love my nokia ntoke niende wapiiiiiiiiii, loh wa pc host hio ishakata tunadunda sie
Wadau mi sikusoma ile post ya hizo proxy kwa java na symbian phones.Nimejaribu kutafuta hiyo post bila mafanikio.
Kama kuna anayeweza niwekea link ya hiyo post au kunipa maelezo ya njia hii kwa java and symbian phones atakuwa amenisaidia san.