Tatizo la akina dada wengi wana stress za kuolewa,akishaona umri umekimbia kidogo,rafiki zake wote wameolewa kabaki yeye anaanza kuchanganyikiwa.Bahati mbaya akikutana na mtoto wa mjini fasta anenda kujitambulisha kwao,akijua kabisa ndio mume ,kumbe wapi.
mimi kuna jamaa mmoja namjua tena yupo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.