Bwana Yesu Asifiwe ndugu yangu...Yesu Kristo Alikuja kuitimiliza Torati au Sheria au Neno baada ya makuhani na mafarisayo kuhubiri habari za Mungu lakini wao hawafuati matendo na neno la Mungu hivyo Dini sio njia yakufanikisha kusudi la Mungu Kutuumba yani Mungu Pamoja na Sisi Emmanuel bali Yesu...
Kwa niaba yangu na wenzangu kama mtu tisa hivi yani Gusta Shada family Tss natubu kupiga charter za majina yetu kila kona ya shule hadi vyoo vya walimu vitabu vya shule sahani na vijiko vya shule na kubadili jina shule kwa maandishi makubwa juu ya gorofa yani lango kuu la kuingilia shuleni kwa...
Salamu... Tafadhali naomba tafsiri ya neno BROUGWE AREA maana niliota ndoto // ufunuo miaka mingi iliyopita lakini bado nakumbuka nadhani ni message fulani kulingana na tukio husika neno hilo liliandikwa kwenye kibao kuelekea huko nilikooneshwa au kuoteshwa mambo husika na barabara ilikuwa ya...
Phone...+255755508223...Nyumba ipo Barabarani kabisa ni dakika 10 au 15 kwa gari kutoka Ukonga Mombasa kwenda Bomba mbili kupita Ukonga mazizini... Eneo la kiwanja Robo heka, Nyumba ni kubwa imechukua eneo karibu lote la Kiwanja japo haijaezekwa... Karibuni.
Nauza Kiwanja 35X35 nusu heka bei milioni 2 kipo Pwani Mkuranga Kata Kiparang'anda Kijiji Kise Jirani na Kise Shule ya Msingi ... Hati ya Kijiji ipo... 0714 400 871... Message tafadhali.
Petro =Jiwe au Mwamba... Kifupi Historia Unayotoa Iweke Sawa pengine unapotosha kwa maksudi au huijui vizuri ila elewa kwamba Shetani alijipanga kupinga ujio wa Yesu Kristo katika Nchi ya Israel kama Mfalme wa Wana wa Israel kumbuka Mungu Ndiye Aliyewaahidi Wana wa Israel Kuwaletea Mfalme ila...
Wengi Wameitwa Lakini Wateule ni Wachache Yaani Kila Mahali Walokole ni Wachache Hiyo Ndio Njia Nyembamba iliyosonga... Yesu Kristo Alisema Nira Yangu ni Laini na Mzigo Wangu ni Mwepesi Mtu Haji Kwa Baba ila Kupitia Kwangu... Mimi Ndiye Njia Kweli na Uzima... akasema Ombeni lolote Kwa Jina Langu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.