Hellow.
Najaribu kuwaza tu nazani sivunji sheria. Sina elimu ya masoko na mambo ya promotion lakini najua swala la msingi unapotaka kuinadi bidhaa fulani lazima ujue una target soko lipi au watu gani, soko la nje au la ndani ya nchi, wanawake au wanaume nk.
Royal tour ilikua ina lengo la...
Ni vyema kuwashukuru na kuwapongeza mama zetu kwa kutulea toka tumboni mpaka leo. Watu husema wababa wengi hufa mapema kuliko wamama kutokana na kutokuongea na hivyo kupata magonjwa yatokanayo na misongo ya mawazo.
Jana ilikua siku ya wanawake duniani, wanawake wengi waliongelea ubora wao na...
Nashangaa waandishi wa habari wa Tanzania, nao wanatekwa na matukio badala ya kufanya kazi zao kwa uweredi, Leo hii Vijana wa Serengeti boys wanacheza fainali kombe la CECAFA under 17 dhidi ya Somali, vijana hawa wamefanya kazi kubwa kufika hatua hii ya fainali na kuitangaza nchi yetu vyema...
Hivi zile location za kwenye instagram inatakiwa uweke sehemu ulipokua wakati unapiga picha au sehemu iliopo wakati unapost picha, mana naonaga picha mtu anaonekana yupo polini halafu pale juu eti Sea Cliff Hotel
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mtindo wa kukata tissue kwenye ma bar ulitoka wapi? mana niko sehemu kuna mteja analalamika kwanini amepwa tissue ambayo haijakatwa?
Sent from my Phantom6-Plus using JamiiForums mobile app
Wananifurahisha sana hawa askari wa barabarani unapopita kwenye mataa trafiki akiongoza magari anakulazimisha ukimbie ukipita umbali kidogo mainline anakusimamisha kuwa ume over speed, which is which? Mi nazani kwa Dar na foleni hizi wangeacha tu mana sehemu kubwa huwa ni foleni hata hiyo speed...
Jana nilifika airport Dar nikaita Uber, baada ya kuingia kwenye gari nilishangaa watu wakavamia ghafla nakuanza kugombana na driver eti Uber hairuhusiwi Airport Dar, nilishangaa sana nikauluza kwani hawa wakina nani? Ni polisi au? Nikaambiwa ni madriver wa tax tu pale airport, sasa nachojiuliza...
Nacheka kwa masikitiko sana, yani sasa Bunge litakua linachagua nini vyombo vya habari vionyeshe live na nini visionyeshe, halafu nchi hii inasema kuna uhuru wa vyombo vya habari, au ni "not to that extent" nakumbuka juzi ktk uchaguzi wa bunge la EA lilikua live na leo sababu ya budget ya ofisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.