Recent content by chonyomtoonyi

  1. chonyomtoonyi

    Whatsssssss!!!!!!!!!????

    Huyu jamaa anatumiaga maharage ya mbeya
  2. chonyomtoonyi

    Hivi huyu ' Scorpio me' anasoma saa ngapi? Huu mkopo unaenda bure

    Sorpio me' ndo nani jaman ?????... maana humu whatsapp nimejiunga leo
  3. chonyomtoonyi

    Wimbo wa Gaidi

    Duu
  4. chonyomtoonyi

    Dada yangu ananitaka kimapenzi

    Duuh yaani stori yako tuu dushe hilooo.... Daaaah !!! Ila jiangalie ukimla huyo atataka kila siku...siku ya kwanza utamg**ea chumbani, siku ya pili chooni, siku ya tatu sebuleni , siku inayofuata kwenye maua nje !!, ipo siku atataka mchezo wakati mjomba yuko ndan na mkewe
  5. chonyomtoonyi

    Dada yangu ananitaka kimapenzi

    Brother mi natafuta kuwa house boi hapo kwenu... Mm ni mtulivu na sina papara.... Ila ntafanya kazi bure hapo kwa mwezi mzima bila malipo !!?? Na ikiwezekana badae tytaelwana malipo tuu.. Ila nasifika kwa kufanya kazi ngumu, na za kawaida...halafu ntakuwakama mwalimu kumfundisha huyo mdogo wako...
  6. chonyomtoonyi

    Washika dini wana IQ ndogo kuliko wasioshika dini?

    Sikuhiz watz siwaelewi akiamka asubuhi tuu na hangover zake anaanza kufanya utafit kitandan kwake....... akilimaliza analeta JF
  7. chonyomtoonyi

    Washika dini wana IQ ndogo kuliko wasioshika dini?

    Mshika dini anayesali kanisani na mcheza uchi clubs na mlev nani anaakili
  8. chonyomtoonyi

    Tetemeko Kagera: ACT-Wazalendo walaani msimamo wa Serikali kutosaidia wahanga

    Hiii nchi ni kituko kwa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji582][emoji100][emoji100][emoji100]
  9. chonyomtoonyi

    Asilimia 88 ya vijana (umri 30 - 35) hutegemea wazazi na mashemeji

    Kaka umepotea mkuu... Huku watu wanalima wanafuga hata kama kuna ukamee... Watu wanakomaaaa... Huo utafit ni wa dar tuu na mikoa yake ya karibu karibu sio pande hiz mkuuuuu
  10. chonyomtoonyi

    Vitu gani vinakuvutia zaidi kutoka kwa mwanamke au mwanaume?

    [emoji12] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
  11. chonyomtoonyi

    Upuuzi huu unaoendelea barabara ya Sam Nujoma nani yuko nyuma yake?

    Tatizo tumepewa elimu ya mkoloni ya kukaririshwa... Kwahio wasomi wengi ni watu waliokariri madaftari tu !! Yaan mm huwa nna wasi was sana na elimu ya baadth ya viongoz wetu hapa tz... Maana maamuz yao yanaonyesha wazi ni watu waliopita njia za panya kupata hivyo vyeti.... Yaani kila siku watu...
  12. chonyomtoonyi

    Kero ya Kelele Kutoka Makanisa ya Kilokole

    Acha ushabiki na mihemko... Hata ss waislam ila hatuna hio mihemko ya kipuuz
  13. chonyomtoonyi

    Kero ya Kelele Kutoka Makanisa ya Kilokole

    Mbona hajazungumzia vigodoro, vigoma vya urugwai, baikoko, matarumbeta, mbona hizi ndo kero kubwa.. Labda kama unalako na hao walokole wa watu
Back
Top Bottom