Jambo la ajabu alipongia bungeni hivi karibuni JK alishangiliwa na kuambiwa "we miss you"[emoji15]
Hata wapinzani wanamkumbuka Mr dhaifu[emoji849]!.Usihofu kwa yote haya, hii ndo miujiza ya siasa[emoji28]
Hakika maisha na dunia ni starehe ya muda na akhera ni marejeo.
Sabrinah MwenyeziMungu aifanye wepesi hesabu yako na awape subra wazee wako nduguzo na jamaa zako na msiba wako utupe ibra tuliobaki nyuma yako.Mimi ni mzazi nimeshindwa kuvumilia maumivu ya wazazi waliofikwa na msiba huu...
Watu wengi hawajui kuwa upadre ni "Vazi", unaweza ukavaa na kisha ukalivua kukingana na mazingira na utashi.Pia waweza vuliwa na "wenyewe" iwapo wataona hufai
Mangi nenda ktk zile kazi zetu walizotuachia wazee wetu,haya mambo ya maujanja waachie "chasaka".Nguo nyeupe ,viatu vyeupe ,mafuta mazuri na afro ni mambo ya congo brother achana nayo
Haya yanawezekana kusini nyanda za juu tu,hii mambo kaskazini hakuna maana ni upuuzi uliopituka.tufanyeni kazi tuachane na ujanjaujanja tutabaki masikini.ukisimama moshi kuwaeleza watu huu upuuzi utakula makofi
Mkuu Deo siku nyingine tandika kisukuma tu tutatumia mtandao kutafsiri na tutaelewa.kwa umri wako hii lugha haiwezi kuingia tena jaribu kuweka mkazo ktk kiswahili huenda utafanikiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.