Jana nilikuwa natoka Manyoni kuja Dar es Salaam. Nikiwa maeneo ya Mtumbatu Gairo majira kama ya saa 9.00 alasiri, basi la Leina Tours kutoka Kahama kwenda Dar es Salaam lilinipita kama vile nimesimama wakati speed yangu ilikuwa 130 km-h. Mwendo wa Basi hili ni wa kasi sana na endapo emergency...
Lakini jamani huyo si ni Dr.? anashindwaje kujibu maswali ya fourm four? na kama hizo ahadi za hapo kwa hapo siyo za chama utekelezaji wake utakuwaje? kama tu zilizoko kitabuni na zenye kumbukumbu kwa umma zimeshindikana na wanaendelea kurithishana!!!!! Sijui niwaambieje watz kuwa huyu...
Habari wana JF, Ningependa kuwajuza kuwa kuanzia 1st November 2010 kwenda South Africa kwa mbongo yeyote mwenye kumiliki PassPORT halali hatahitaji VISA.
Kwa wajasiliamali na wasomi hii ndo nafasi ya kuanza michakato ya kutafuta maisha maana ile adha ya kupanga foleni na kupigwa tarehe za...
easy, ina maana na ujanja wako wote umemwona huyo tu? kwani ni lazima au unataka kutusumbua tu? kama unampenda kuliko maisha go for her????? na kama unaona unahitaji kuishi japo kidogo jaribu kumuepuka, maana sidhani kama utakuwa na muda wa kumfanyia research! watu wengine hawajulikani hata...
bado nyumba ipo? nahitaji kuja kuiona!! pia hiyo golf kama bado ipo itakuwa muafaka pia kuiona. nitapenda pia kutembelea warehouse yako naweza kupata items za kununua.
Ni kweli, vyanzo vya habari vinaonesha wamekuapo watu wa makundi mbalimbali ya jamii, kuanzia waalimu, madaktari na hata nimesikia mhabarishaji mmoja (aliekuwa anaripoti tukio) alichojoa na kwenda kujiunga.
Wakuu,ni ukweli usiofichika kuwa Rais Kikwete anastahili kupewa credit kwa kuleta mahusiano mazuri na nchi za nje.ikiwemo Marekani. Rais Kikwete aliweza kuconvice jumuia ya Leon Sullivan Foundation kufanyia mkutano Arusha. Sullivan Summits are a bridge between America and Afica and the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.