A/a kwa yoyote yule mwenye kutaka kununua nyumba zanzibar sehemu mombasa nyuma ya air-port ni sehemu za ramani na nyuma zote jirani ni zakileo ninyumba ya vumba 3 includi master rm, vyoo 2,kumbi 2,majiko 2 na kisima cha maji ndani na ina makabadi ya kiulaya jikoni iko (full complete)nikuingia na bag lako tu, bei ni millioni 100 majadiliano yapo. Na nina gari model golf cl 95 black ninauza millioni 5 na machine za ice cream 3 nyengine nimecha zimebakia 3 ukubwa wamachine nikama nusu ya friji kwa kwenda juu au sawa na washing machine. Ni heavy duty ni kwa kufanyia biashara bei ni million 3 mazungumzo yako ukishukuwa kwa jumla. Kwa maelezo zaidi ya kutaka kuziona wasiliana namimi farouk mmanga 0777436842/0777843578 zanzibar.
View attachment 14453
majine ni
majine ni