Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 888
The question should be - kwa nini wabunge walipw posho! Cynic, Mtanzania wakuu, mmezungumzia hili suala na hi ndo fundamental.
Tuanze culture ya kufanya kazi kwa mshahara - sijawahi kuona posho zinatolewa kiholela kama ktk nchi zetu za kiafrika lakini Tanzania tunatia fora!
Mbunge anapokaa katika kamati asipewe posho maana yuko kazini, full stop!
Tuanze culture ya kufanya kazi kwa mshahara - sijawahi kuona posho zinatolewa kiholela kama ktk nchi zetu za kiafrika lakini Tanzania tunatia fora!
Mbunge anapokaa katika kamati asipewe posho maana yuko kazini, full stop!