Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
...Mnishauri wanajamii mie kiuno changu nadhani bado nakihitaji na nipo kidogo confused kwa sababu mdada nampenda ila ninataka kumuuliza ukweli wote kama atakuwa yupo tayari kuniambia A-Z maana hizi pingu za maisha ambazo mnafungwa ni noma mazee...sio za kuingia kichwa kichwa..
Asanteni
...kaka, ukifa sidhani kama utakihitaji tena hicho kiuno 'huko uendako.'
Pili, kufa ni lazima, ...umuoe huyo dada au la utakufa tu.
Ushauri wangu, fata nini roho inataka...halafu muachie Mw'Mungu na hatma yako.