Recent content by chollodehutch

  1. chollodehutch

    Mwamuzi aliyechezesha mechi ya Yanga na Ruvu leo kama hajapewa hongo basi mechi ilimshinda

    Huyu mwamuzii aliinyima simba penat 2 dikson job alishika mpira ndan ya box na mwamuz alkua eneo la tukio ila alikaushaa morrison alivutwa jearsy na kaseke ndan ya box ila refaa km hakuonaa n kwelii var n advanced system lakn wenzet marefa wao hawafany makosa ya kibinadam ya mara kwa maraa ...
  2. chollodehutch

    INAUZWA Kwa wapenzi wa Unyunyu mkali/ Perfumes

    Hebu nitafutie royal blue half uniambie beii ni kiasii gan na pia uitolee maelezo...?
  3. chollodehutch

    Kozi za udereva chuo cha Taifa cha Usafirishaji(NIT)

    Kaka hiyo senior n hatar inatka uwe na vigezo: uwe na chet cha grade two &one we unavyo...?
  4. chollodehutch

    Kaka zetu leo nawapeni ukweli

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  5. chollodehutch

    Kaka zetu leo nawapeni ukweli

    Hii inaonesha ni jinsi gani vijana wengi wanavyokosa weledii kwenye mapenz na kinachotokea ni piga piga tu km mpira wa yangaa... Watu wengi huamin wanapokutana na uhusiano mwingi wa mara kwa mara yaani leo upo na demu huyu kesho huyu ndiyo kujua mapenzi, wakati kumbe ndiyo wanafeli hata...
  6. chollodehutch

    Wale ambao Mama zetu wametangulia mbele ya haki

    rest in peace mama Sent using Jamii Forums mobile app
  7. chollodehutch

    Jokofu (friji) linatumia matumizi makubwa ya umeme sana

    250000 Sent using Jamii Forums mobile app
  8. chollodehutch

    Jokofu (friji) linatumia matumizi makubwa ya umeme sana

    Temperature regulator ni kifaa au ni nini ungeielezea vizuri hii zaidi ili tuelewe na kazi yake ni nini kwa sababu friji yangu kwenye kupooza haina shida kabisa inapooza vizuri na pia ni kwa wakati na ninauwezo wa ku seti pia temperature ninayotaka na ikafanya kazi vizuri tu shida ni umeme hata...
  9. chollodehutch

    Jokofu (friji) linatumia matumizi makubwa ya umeme sana

    Ni kweli aise hapa nimepata idea mpya ukitaka kufanya jambo kama kununua vitu ambavyo ni electronic lazima uangalie kwanza matumizi yake ya umeme...asante sanaa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. chollodehutch

    Jokofu (friji) linatumia matumizi makubwa ya umeme sana

    vizuri Sent using Jamii Forums mobile app
  11. chollodehutch

    Jokofu (friji) linatumia matumizi makubwa ya umeme sana

    sawa nashukuru Sent using Jamii Forums mobile app
  12. chollodehutch

    Jokofu (friji) linatumia matumizi makubwa ya umeme sana

    Nashukuru kwa mawazo Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom