Jokofu (friji) linatumia matumizi makubwa ya umeme sana

chollodehutch

Senior Member
Jun 29, 2016
159
192
Wapendwa katika bwana, natumaini mpo salama kabisa.

Nina jokofu ( friji) langu kampuni ya BEKO nilinunua dukani likiwa used yaani limetumika tayari.

Shida kubwa ni linatumia umeme mwingi kupita maelezo inanibidi kwa sasa nilitumie kwa masaa baada ya hapo nilizime napata wakati mgumu sana hasa hapa ninapokaa ni nyumba za kupanga inaonekana natumia umeme mwingi zaidi.

Pia hata ile system ya kuwa standby mode baada ya kuwa limepoozesha vitu vizuri halina kwahiyo likiwashwa ndiyo hivyo hivyo mpaka ulizime na kwa wastani ukiliwasha kwa muda wa masaa 5 linaweza kutumia Units 2.50 mpaka 2.90 inamanisha kwa siku linatumia si chini ya Units 6.

Kwa mwenye uzoefu, mawazo au fundi pia nini nifanye ili kumaliza tatizo hili jamani ikiwezekana kama nitaweza kupata ile system ya standby mode nini kifanyike hapo.

Nawasilisha kwenu wanajukwaa..picha mtanisamehe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapendwa katika bwana, natumaini mpo salama kabisa.

Nina jokofu ( friji) langu kampuni ya BEKO nilinunua dukani likiwa used yaani limetumika tayari.

Shida kubwa ni linatumia umeme mwingi kupita maelezo inanibidi kwa sasa nilitumie kwa masaa baada ya hapo nilizime napata wakati mgumu sana hasa hapa ninapokaa ni nyumba za kupanga inaonekana natumia umeme mwingi zaidi.

Pia hata ile system ya kuwa standby mode baada ya kuwa limepoozesha vitu vizuri halina kwahiyo likiwashwa ndiyo hivyo hivyo mpaka ulizime na kwa wastani ukiliwasha kwa muda wa masaa 5 linaweza kutumia Units 2.50 mpaka 2.90 inamanisha kwa siku linatumia si chini ya Units 6.

Kwa mwenye uzoefu, mawazo au fundi pia nini nifanye ili kumaliza tatizo hili jamani ikiwezekana kama nitaweza kupata ile system ya standby mode nini kifanyike hapo.

Nawasilisha kwenu wanajukwaa..picha mtanisamehe

Sent using Jamii Forums mobile app
Piga chini nunua lingine!
Usipende kununua used.
 
Hilo fridge watakua wametoa compressor yake na kufunga za kizamani.

Maana mafridge ya sasa kwa mwaka mzima linatumia Units hazizidi 80 kwa fridge ya size ya kati.

Cha kufanya uza hilo na nunua jingine. Au tafuta compressor ambayo ipo optimized kwenye power consuption ufunge
 
uza kama chuma chakavu, linakufilisi, nunua friji jipya achana na used
 
Mkuu inaelekea temperature regulator ina kasoro (nimesahau jina lake). Mimi natumia BEKO mtumba kwa zaidi ya miaka kumi sasa, haina tatizo lolote. Sehemu zote mbili (friji na freezer) zinafanya kazi vizuri sana. Mtafute fundi fridge mzuri na mwaminifu.

Pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole sana, ila jiongeze. Wazungu huwa wanauza vitu kama hivyo kuwa mtumba kwa sababu ya power consumption, yaani kwa mzungu nishati inaangaliwa sana hata kwenye kununua gari au items za ndani.
Na kwa sababu hiyo mimi pia nimeuza fridge langu aina ya Juba la kikorea, japo nilifunga compressor ya Danfoss compressor imara sana, lakini kwenye matumizi ya umeme lipo juu, nimeliuza pia dukani nilikuwa na freezer na bottle cooler vya Westpoint nimeviuza, yaani nalipa luku pesa nyingi, faida za vinywaji asilimia kubwa nalipia umeme. Nikaona huu ni ujinga.
Nilikuwa na Tv chogo ya Sony Trintron watts 120 nikaiuza na kununua LED Samsung watts 56, natumia jiko la umeme lenye plate 2 na Oven lina watts 4000 total power, ila nataka ninunue la Induction plate mbili ambalo linapika haraka na watts chache, siku hizi hata taa za nyumba tunatumia LED, energy ndo mpango mzima.
Kama unalipiwa umeme hakuna haja ya kuliuza ay kubana matumizi wewe pikia hata maharagwe.
Wapendwa katika bwana, natumaini mpo salama kabisa.

Nina jokofu ( friji) langu kampuni ya BEKO nilinunua dukani likiwa used yaani limetumika tayari.

Shida kubwa ni linatumia umeme mwingi kupita maelezo inanibidi kwa sasa nilitumie kwa masaa baada ya hapo nilizime napata wakati mgumu sana hasa hapa ninapokaa ni nyumba za kupanga inaonekana natumia umeme mwingi zaidi.

Pia hata ile system ya kuwa standby mode baada ya kuwa limepoozesha vitu vizuri halina kwahiyo likiwashwa ndiyo hivyo hivyo mpaka ulizime na kwa wastani ukiliwasha kwa muda wa masaa 5 linaweza kutumia Units 2.50 mpaka 2.90 inamanisha kwa siku linatumia si chini ya Units 6.

Kwa mwenye uzoefu, mawazo au fundi pia nini nifanye ili kumaliza tatizo hili jamani ikiwezekana kama nitaweza kupata ile system ya standby mode nini kifanyike hapo.

Nawasilisha kwenu wanajukwaa..picha mtanisamehe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole sana, ila jiongeze. Wazungu huwa wanauza vitu kama hivyo kuwa mtumba kwa sababu ya power consumption, yaani kwa mzungu nishati inaangaliwa sana hata kwenye kununua gari au items za ndani.
Na kwa sababu hiyo mimi pia nimeuza fridge langu aina ya Juba la kikorea, japo nilifunga compressor ya Danfoss compressor imara sana, lakini kwenye matumizi ya umeme lipo juu, nimeliuza pia dukani nilikuwa na freezer na bottle cooler vya Westpoint nimeviuza, yaani nalipa luku pesa nyingi, faida za vinywaji asilimia kubwa nalipia umeme. Nikaona huu ni ujinga.
Nilikuwa na Tv chogo ya Sony Trintron watts 120 nikaiuza na kununua LED Samsung watts 56, natumia jiko la umeme lenye plate 2 na Oven lina watts 4000 total power, ila nataka ninunue la Induction plate mbili ambalo linapika haraka na watts chache, siku hizi hata taa za nyumba tunatumia LED, energy ndo mpango mzima.
Kama unalipiwa umeme hakuna haja ya kuliuza ay kubana matumizi wewe pikia hata maharagwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inaelekea temperature regulator ina kasoro (nimesahau jina lake). Mimi natumia BEKO mtumba kwa zaidi ya miaka kumi sasa, haina tatizo lolote. Sehemu zote mbili (friji na freezer) zinafanya kazi vizuri sana. Mtafute fundi fridge mzuri na mwaminifu.

Pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Thermostat

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole sana, ila jiongeze. Wazungu huwa wanauza vitu kama hivyo kuwa mtumba kwa sababu ya power consumption, yaani kwa mzungu nishati inaangaliwa sana hata kwenye kununua gari au items za ndani.
Na kwa sababu hiyo mimi pia nimeuza fridge langu aina ya Juba la kikorea, japo nilifunga compressor ya Danfoss compressor imara sana, lakini kwenye matumizi ya umeme lipo juu, nimeliuza pia dukani nilikuwa na freezer na bottle cooler vya Westpoint nimeviuza, yaani nalipa luku pesa nyingi, faida za vinywaji asilimia kubwa nalipia umeme. Nikaona huu ni ujinga.
Nilikuwa na Tv chogo ya Sony Trintron watts 120 nikaiuza na kununua LED Samsung watts 56, natumia jiko la umeme lenye plate 2 na Oven lina watts 4000 total power, ila nataka ninunue la Induction plate mbili ambalo linapika haraka na watts chache, siku hizi hata taa za nyumba tunatumia LED, energy ndo mpango mzima.
Kama unalipiwa umeme hakuna haja ya kuliuza ay kubana matumizi wewe pikia hata maharagwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli aise hapa nimepata idea mpya ukitaka kufanya jambo kama kununua vitu ambavyo ni electronic lazima uangalie kwanza matumizi yake ya umeme...asante sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Temperature regulator ni kifaa au ni nini ungeielezea vizuri hii zaidi ili tuelewe na kazi yake ni nini kwa sababu friji yangu kwenye kupooza haina shida kabisa inapooza vizuri na pia ni kwa wakati na ninauwezo wa ku seti pia temperature ninayotaka na ikafanya kazi vizuri tu shida ni umeme hata kama nitaset temperature kidogo labda mfanoo...

inaanzia 1 hadi 5 halafu baada ya hapo kuna off power ...1 ina nguvu zaidi na inafanya friji igandishe haraka sana na barafu kiwambazani ni nyingi na ndo ukiset hiyo inakula umeme mpaka Units 3 kwa masaa 5.

kwhyo mimi nimeset 4 ambapo atleast kidogo inakula mpka Units 2.50 kwa masaa hayo 5 ndiyo mana nkaomba ushauri na uelewa zaidi.

shida kwa nini linatumia umeme mwingi zaidi na kwa mda mchache kipi nifanye ili niweze ku fix hii issue..how to solve it..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapendwa katika bwana, natumaini mpo salama kabisa.

Nina jokofu ( friji) langu kampuni ya BEKO nilinunua dukani likiwa used yaani limetumika tayari.

Shida kubwa ni linatumia umeme mwingi kupita maelezo inanibidi kwa sasa nilitumie kwa masaa baada ya hapo nilizime napata wakati mgumu sana hasa hapa ninapokaa ni nyumba za kupanga inaonekana natumia umeme mwingi zaidi.

Pia hata ile system ya kuwa standby mode baada ya kuwa limepoozesha vitu vizuri halina kwahiyo likiwashwa ndiyo hivyo hivyo mpaka ulizime na kwa wastani ukiliwasha kwa muda wa masaa 5 linaweza kutumia Units 2.50 mpaka 2.90 inamanisha kwa siku linatumia si chini ya Units 6.

Kwa mwenye uzoefu, mawazo au fundi pia nini nifanye ili kumaliza tatizo hili jamani ikiwezekana kama nitaweza kupata ile system ya standby mode nini kifanyike hapo.

Nawasilisha kwenu wanajukwaa..picha mtanisamehe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Fridge mpya haili umeme kabisa, umeme unaotumika ni wa kawaida Sana, tatizo ikiharibika ukaipeleka kwa fundi au hiyo yako used hizo ni hasara uza bei karibu na bure nunua mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom