Mwanaume asie muoaji hata kuishi pamoja tuu huwa hakubali hata kidogo anachenga, kwanza wasiowaoaji hata kwenda kutoa posa tuu mtihani, wanaume huku ndani mnajua sana
Latifa ishi na huyo mwanaume kama nikweli atafata taratibu za kukuposa misimamo kwenye maswala kama hayo haifai nakwambia ukifika miaka 50 hujaolewa kila mtu atasema yake halafu utakuja kuzaa lini sasa?
Perspective za watu wengine zisikufanye ukatae hao wanawake aliozaa nao sio sababu ya kuwa...
Heri ya pasaka wapendwa
Naombeni kuuliza swali jepesi tuu hivi inakuaje pale mahusiano yanapoanza hata mwezi hamjafikisha mmoja anaanza kumpiga mwenzie mizinga ya kumuomba mwenzie hela mara ohh naomba uniazime 100,000 nitakurudishia keshokutwa huyo ni mwanaume mzima na akilizake, hatujamaliza...
Jamani mimi sitaki kukumbuka maana nikikumbuka huwa kwanza nacheka peke yangu maana siku hiyo ilikua sinema, nakumbuka nilivyoenda hospital nikiwa najidai kweli nawaambia manesi nimekuja kujifungua wakawa wanaangaliana hee wanaokujaga kuzaa ndio wanakuwaga hivi? Wakati huo mimi nacheka cheka tuu...
Moyo wangu unaniuma sana huwa najiuliza maswali mengi na sipati jibu la kunifariji. Hivi kweli Mungu ndivyo alivyotaka iwe hivi ama?
Nimetokea kwenye familia ya kawaida sana yeye single mother, sikuwahi kuenjoy mapenzi ya baba japo niliyatamani sana, sijawahi kupata mapenzi ya ndugu zangu dada...
Hivi maisha yako yakoje? Maana kwahizo ndoto unazoota lazima Una pitia hard life Fulani hivi, ndoto Kama hizo hazijawahi kumuacha mtu salama. Mjue sana Mungu ili uwe na amani ila hizo video zitakusaidia ila utafute kanisa la kiroho uende udini weka pembeni.
Huko kwa madada poa wengine sio watu ni majini kwahiyo utakua unayo yakukutosha hata hao madada poa wengi wana majini hivyo unavyotembea nao mengine yanabaki kwako utakua na matatizo mkubwa wewe hata ukioa hutaacha hiyo tabia nautakua unamdharau mkeo au hakutoshelezi haja yako hivyo ndoa yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.