Recent content by CHOKAMBOVU

  1. C

    KERO Halmashauri ya Ikungi - Singida iweke utaratibu mzuri kuhudumia Watumishi. Tunasubiri saini kuanzia asubuhi hadi saa 2 Usiku

    Nadhani hundi ambazo zinalalamikiwa nyingi ni za miradi ambayo imehodhiwa na watu wa halmshauri. Kwamba kikao masaa zaidi ya kumi huyu mkurugenzi hana kazi zingine za kufanya. Mbona hawajazungumzia hamisho dhalimu zinazofanywa na wakuu wa Idara katika jina la kurekebisha Ikama na waliohamishwa...
  2. C

    KERO Halmashauri ya Ikungi - Singida iweke utaratibu mzuri kuhudumia Watumishi. Tunasubiri saini kuanzia asubuhi hadi saa 2 Usiku

    Kwa maoni yangu hii ni ajenda inayotaka kujengwa na watu ambayo hawataki kubwanwa. Mkurugenzi aliyepo ni mtu ambaye Yuko katika msitari ulionyooka. Ni mtu anayetaka kuona kila kinachopita kwake anahakiki na kufanya uamuzi sahihi. Shida iliyopo kwa wilaya ya Ikungi ni baadhi ya wakuu wa Idara na...
  3. C

    Wasifu (CV) ya Patrobas Katambi

    Amesoma Sheria ni college mate wangu. Ni mtu ambaye Yuko straight Hana konakona. Huo Utiss ni nyie mnasema ila hakuwa huko
  4. C

    Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Malumbano yote hayo ni abuu kutokuleta simulizi humu. Abuu acha hizo basi
  5. C

    Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Sawq Sawa mwandishi
  6. C

    Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Weka namba tukuwezeshe abuu
  7. C

    Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Ahueni umeonekana
  8. C

    Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Wakati tunasubiri mwandishi aje atokee basi binti mmoja tukutanishe vikojoleo tutoe hii arosto
  9. C

    PreGE2025 Mbunge wa Hai awakutanisha walimu kuwashukuru. Awapa millioni 2 ujenzi wa ofisi

    Ni kajamaa kabinafsi sana. Hata sie washikaji ambao tulikuwa tunakapa madesa kanatuona hatuna maana. Kashukuru kamwili kamejaa kidogo. Kalikuwa kembamba kama moja
  10. C

    Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Tunakuwa na arosto kama wavuta unga.
  11. C

    Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Ndg mwandishi jini amepita na wewe nini. Au ndio unapanua njia ya jessinia
  12. C

    PreGE2025 Mbunge wa Hai awakutanisha walimu kuwashukuru. Awapa millioni 2 ujenzi wa ofisi

    Ni college mate wangu huyu kabebwa sana na mtu fulani na aliingia bungeni kwa kisulisuli cha mwendazake. Hii kuchangia jengo la chama nyonyaji cha walimu sidhani kama ni tija. CWT imekuwa kwa muda mrefu ikitumia vyombo vya kimaamuzi kutimiza maslahi yai
  13. C

    Sikujua IGP Camilius Wambura ni mahiri hivi; system ya nchi yetu haijakosea, ni mtu sahihi, nchi iko mikono salama

    Amani na haki vinaendana pamoja. Kama amejikita katika amani akasahau haki. Lipo swali la kujiuliza
  14. C

    PreGE2025 Prof. Eginald PAN Mihanjo: CCM ijiandae kuwa chama cha upinzani

    Na ki Na kimsingi amekuwa ndio muandaa ilani za chama kwa muda mrefu katika chama kwa hiyo analysis anayotoa anaitoa kwa kuwa kwa muda mrefu amekuwa strategist wa chama na ni ushauri katika Hali ambayo wengine ni ngumu kuelewa
Back
Top Bottom