Kwanza kabisa uhai ni zawadi kutoka kwa Mungu haya mengine ni changamoto ambazo unahitaji kupambana ili kukabiliana nazo na hata kuepusha kizazi chako na hayo wewe unayoita mikosi, hata ulaya miaka hiyo waliikuta hali ngumu ila kwa nidhamu na ufanyaji kazi wao waliibadili ulaya kuiona hiyo...
Kwanza kabisa natoa pole kwa waliofikwa na msiba huu wa mpendwa wao, ila shida ni moja taa ya kijani inaweza kuwa imewaka kuruhusu magari mfano taa za yrafiki hapo then hapo usawa wa kilimanjaro bus watu wanavuka bila kuchukua taadhari kuwa taa zimeruhusu magari kupita likitokea la kutokea...
Hii ni rahisi sana mkuu anza na viongozi wako wa jumuia kuwaeleza huamini katika dini yoyote nao watamfikishia paroko wako na wala hutosumbuliwa tena ila shida ipo kwa mwenzi wako yeye anaendelea kuamini katika ukristo hivyo watakuja kwake tu.
Uke hautakiwi kuoshwa kwa sabuni wala kuingiza vidole ndani utakuwa unaondoa au kuua wale bacteria wanaolinda uke (normal flora) hivyo kusababisha kupata magojwa kama fungus, bacteria infection n.k
Sio salama kutumia sabuni ukeni kabisa.
Neno ''Karama'' maana yake ni kipawa
anachojaliwa mtu kupewa kutoka kwa MUNGU ili
kipawa hicho akitumie kwa mema na sio
mabaya.
Neno ''Kipawa'' maana yake ni uwezo aliozaliwa
nao mtu ambao humfanya mtu huyo kufanya
jambo fulani vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.