Hakika chumba cha jirani ni shida

Hakika chumba cha jirani ni shida

Hii ishatukuta masela wakati tupo chuo na tumepanga uswazi.
Sita sahau kwakweli mana tulipata shida jamni duu. Ogapa kitu dirisha kwa dirisha halafu sie tupo tunapiga msuli.
Gafla zinakuja kelele za mvumo usio wa kawaida. Asee yule jamaa alikuwa mashine.
Kitu inavuma mpaka mtetemo sie hapo ndio tabu tupu. Haya mambo usiombe yakukute.
 
Nakumbuka kipindi nipo chuo tulikuaga tunapokezana ukimaliza kutoa dozi na makelele chumba kinachofuata jamaa anaanza. Maisha ya Chuo bana.
 
Kipindi nikiwa primary, broo akiingiza demu tu napanda kwenye sillingboard ni kula chabo mpaka wanalala kuna siku nusra nishuke na silling board mbovu chumbani mwao!
 
Mh! Ukute wamerekodi CD ya ngono kuwarusha roho. Ukute jamaa ana kibamia au jongoo hapandi mtungi so kuficha mapungufu ndo wanawaigizia!
 
Wadau nimeleta hii kwenu ili mnisaidie je jamaa chumba cha jirani anajua sana au hajui mambo

Maana usiku utaona wanaenda kuoga wote ajabu bibie akinogewa upiga kelele mpka wa nje uku tunasikia kukata shazi inabidi tujifungie ndani

Usiku mmelala unasikia tena bibie anaulilia

Mchana jamaa akirudi kazini wanajifungia unasikia tena bibie ana ulilia

Hakika chumba cha jirani ni shida

Duh na wewe rukia wako mkuu wasikusumbue
 
Kipindi nikiwa primary, broo akiingiza demu tu napanda kwenye sillingboard ni kula chabo mpaka wanalala kuna siku nusra nishuke na silling board mbovu chumbani mwao!

We kiboko..
 
We unatamani kupiga chabo sema huna ujanja.....
 
Pole zako wewe na tatizo la nguvu za kiume kwa maana wenzio walizonazo wanazitumia haswa
 
Mwambie mwenye nyumba aweke "ceiling board" tu
Wadau nimeleta hii kwenu ili mnisaidie je jamaa chumba cha jirani anajua sana au hajui mambo

Maana usiku utaona wanaenda kuoga wote ajabu bibie akinogewa upiga kelele mpka wa nje uku tunasikia kukata shazi inabidi tujifungie ndani

Usiku mmelala unasikia tena bibie anaulilia

Mchana jamaa akirudi kazini wanajifungia unasikia tena bibie ana ulilia

Hakika chumba cha jirani ni shida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom