Kuna rafiki yangu alitumia hizi sabuni za Zoazoa lakini uke unawasha. Sijui kuna kemikali ambayo haiko sawa kwenye hizo sabuni?
Uke hautakiwi kuoshwa kwa sabuni wala kuingiza vidole ndani utakuwa unaondoa au kuua wale bacteria wanaolinda uke (normal flora) hivyo kusababisha kupata magojwa kama fungus, bacteria infection n.kKuna rafiki yangu alitumia hizi sabuni za Zoazoa lakini uke unawasha. Sijui kuna kemikali ambayo haiko sawa kwenye hizo sabuni?
Uke hautakiwi kuoshwa kwa sabuni wala kuingiza vidole ndani utakuwa unaondoa au kuua wale bacteria wanaolinda uke (normal flora) hivyo kusababisha kupata magojwa kama fungus, bacteria infection n.k
Sio salama kutumia sabuni ukeni kabisa.
Tuwafundisheni mara ngapi kwamba uke hauoshwi na sabuni?Kuna rafiki yangu alitumia hizi sabuni za Zoazoa lakini uke unamuwasha. Je, kuna Kemikali ambayo haiko sawa kwenye hizo sabuni?
Sabuni yenyewe inaitwa zoa zoa Yan haibakishi kitu ..usiitumie Tena najua n wewe Wala sio huyo unayemsingizia
Hapana siyo mimi. Ni rafiki yangu ila hata mimi nilimuonya kuhusu matumuzi ya sabuni kusafishia KSabuni yenyewe inaitwa zoa zoa Yan haibakishi kitu ..usiitumie Tena najua n wewe Wala sio huyo unayemsingizia
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu nitag mkuu!!!Unaogopa nini kusema ni wewe
Kuna rafiki yangu alitumia hizi sabuni za Zoazoa lakini uke unamuwasha. Je, kuna kemikali ambayo haiko sawa kwenye hizo sabuni?
Sabuni yenyewe inaitwa zoa zoa Yan haibakishi kitu ..usiitumie Tena najua n wewe Wala sio huyo unayemsingizia
Sent using Jamii Forums mobile app