Ndio sikatai ilikua tangu enzi za mwalimu, alikua akiongea na 'wazee wa dar es salaam' na kwa jambo lolote kubwana tz, lilikuwa linapitia kwa hawa wazee. Na imekua mfano kwa viongozi waliofuata mpaka sasa. Lakini mda sasa umebadilika, enzi za mwalimu, wazee hao ndo walikua wakisambaza news nchi...