chizi1
Member
- Dec 16, 2011
- 77
- 23
Lowassa amekanusha habari zote za uongo, asema yuko fiti na anaendelea vizuri, aeleza alifanyiwa operation miaka iliyopita akashauriwa awe anafanya check up kila mara vile vile amefanya check up zingine zote pamoja na moyo na yuko mzima. Anawashukuru wote waliotuma message na kumuweka kwenye maombi, anashukuru maaskofu na mashehe walimuweka kwenye maombi, asisitizia yuko tayari kwa kazi zote na anaendelea vizuri.
Amekanusha kuongelea hali ya siasa arusha.
Mungu akubariki lowassa..
Haya waongo kanusheni sasa
Amekanusha kuongelea hali ya siasa arusha.
Mungu akubariki lowassa..
Haya waongo kanusheni sasa