Mhe Lowassa azungumza na waandishi, asema yupo 'fit'

chizi1

Member
Dec 16, 2011
77
23
Lowassa amekanusha habari zote za uongo, asema yuko fiti na anaendelea vizuri, aeleza alifanyiwa operation miaka iliyopita akashauriwa awe anafanya check up kila mara vile vile amefanya check up zingine zote pamoja na moyo na yuko mzima. Anawashukuru wote waliotuma message na kumuweka kwenye maombi, anashukuru maaskofu na mashehe walimuweka kwenye maombi, asisitizia yuko tayari kwa kazi zote na anaendelea vizuri.

Amekanusha kuongelea hali ya siasa arusha.

Mungu akubariki lowassa..

Haya waongo kanusheni sasa
 
Lowassa amekanusha habari zote za uongo, asema yuko fiti na anaendelea vizuri, aeleza alifanyiwa operation miaka iliyopita akashauriwa awe anafanya check up kila mara vile vile amefanya check up zingine zote pamoja na moyo na yuko mzima. Anawashukuru wote waliotuma message na kumuweka kwenye maombi, anashukuru maasjofu na mashehe walimuweka kwenye maombi, asisitizia yuko tayari kwa kazi zote na anaendelea vizuri.

Amekanusha kuongelea hali ya siasa arusha.

Mungu akubariki lowassa..

Haya waongo kanusheni sasa
 
Lowassa amekanusha habari zote za uongo, asema yuko fiti na anaendelea vizuri, aeleza alifanyiwa operation miaka iliyopita akashauriwa awe anafanya check up kila mara vile vile amefanya check up zingine zote pamoja na moyo na yuko mzima. Anawashukuru wote waliotuma message na kumuweka kwenye maombi, anashukuru maasjofu na mashehe walimuweka kwenye maombi, asisitizia yuko tayari kwa kazi zote na anaendelea vizuri.

Amekanusha kuongelea hali ya siasa arusha.

Mungu akubariki lowassa..

Haya waongo kanusheni sasa

kumbe huyu fisadi namba moja ana mashushushu huku jamvini kazi kweli kweli
 
lowassa amekanusha habari zote za uongo, asema yuko fiti na anaendelea vizuri, aeleza alifanyiwa operation miaka iliyopita akashauriwa awe anafanya check up kila mara vile vile amefanya check up zingine zote pamoja na moyo na yuko mzima. Anawashukuru wote waliotuma message na kumuweka kwenye maombi, anashukuru maasjofu na mashehe walimuweka kwenye maombi, asisitizia yuko tayari kwa kazi zote na anaendelea vizuri.

Amekanusha kuongelea hali ya siasa arusha.

Mungu akubariki lowassa..

Haya waongo kanusheni sasa




yuko tayari kwa kazi ipi? Kama ni ya wizi sawa. Mimi ni mwiongoni mwa watu ambao sijawahi kumwombea kwa neema ya mungu amerudi salama ila naomba jambo moja mungu amshugulikie talatibu mpaka mwisho wa uhai wake na kama kweli ni muwazi aseme magonjwa yake yote ili wanaomwombea waombe wakijuwa mgojwa wao anaumwa nini.
 
Angefafanua yupo tayari kwa kazi gani kwani kwa Kikao cho chote cha Bunge sasa.

Karibu tena EL kapumzike Monduli.
 
Humu ndani mlitusumbua sana tukafunga safari tukijua amepata stroke.tukaenda hadi kwake
 
mwambie aache ubishi...afate masharti ya madaktari na pia aache kutumia remmy-martin......ndoto za uraisi .....
 
Madaktari wamemwambia apumzike na aachane ma na mambo ya siasa.....akiendelea shauri lake likalompata tena
 
Lowassa amekanusha habari zote za uongo, asema yuko fiti na anaendelea vizuri, aeleza alifanyiwa operation miaka iliyopita akashauriwa awe anafanya check up kila mara vile vile amefanya check up zingine zote pamoja na moyo na yuko mzima. Anawashukuru wote waliotuma message na kumuweka kwenye maombi, anashukuru maasjofu na mashehe walimuweka kwenye maombi, asisitizia yuko tayari kwa kazi zote na anaendelea vizuri.

Amekanusha kuongelea hali ya siasa arusha.

Mungu akubariki lowassa..

Haya waongo kanusheni sasa

Karibu nyumbani E.L ila maaskofu wa katoliki hawataki tena kutumia makanisa kujisafisha kwa kutumia michango!tafuta madhehebu menginge kujisafisha mkuu
 
Lowassa amekanusha habari zote za uongo, asema yuko fiti na anaendelea vizuri, aeleza alifanyiwa operation miaka iliyopita akashauriwa awe anafanya check up kila mara vile vile amefanya check up zingine zote pamoja na moyo na yuko mzima. Anawashukuru wote waliotuma message na kumuweka kwenye maombi, anashukuru maasjofu na mashehe walimuweka kwenye maombi, asisitizia yuko tayari kwa kazi zote na anaendelea vizuri.

Amekanusha kuongelea hali ya siasa arusha.

Mungu akubariki lowassa..

Haya waongo kanusheni sasa

kama yuko fit, haumwi maombi ya nini? Anashukuru mashekhe na maaskofu kwa lipi? Unafiki sio kabisa.
 
Unataka wakanushe nini sasa, halafu sio uongo, wewe ndo unataka kutuletea uongo hapa, kwani huyo babu yako haumwi kweli?
Kikwete anamzidi Lowasa miaka m3 tu lakini babu yako lowasa ameezeeka utadhani nalingana umri na jaji Warioba.

Kubali ukatae Lowasa ni mgonjwa, yeye ni binadamu kama wengi so kuugua ni kawaida sana

Nkusahangaa unatete upuuzi

Lowassa amekanusha habari zote za uongo, asema yuko fiti na anaendelea vizuri, aeleza alifanyiwa operation miaka iliyopita akashauriwa awe anafanya check up kila mara vile vile amefanya check up zingine zote pamoja na moyo na yuko mzima. Anawashukuru wote waliotuma message na kumuweka kwenye maombi, anashukuru maasjofu na mashehe walimuweka kwenye maombi, asisitizia yuko tayari kwa kazi zote na anaendelea vizuri.

Amekanusha kuongelea hali ya siasa arusha.

Mungu akubariki lowassa..

Haya waongo kanusheni sasa
 
..........kelele huko na wewe; bure kabisa na wala hakun kitu hapa!!!!!!!!!!

Lowassa amekanusha habari zote za uongo, asema yuko fiti na anaendelea vizuri, aeleza alifanyiwa operation miaka iliyopita akashauriwa awe anafanya check up kila mara vile vile amefanya check up zingine zote pamoja na moyo na yuko mzima. Anawashukuru wote waliotuma message na kumuweka kwenye maombi, anashukuru maasjofu na mashehe walimuweka kwenye maombi, asisitizia yuko tayari kwa kazi zote na anaendelea vizuri.

Amekanusha kuongelea hali ya siasa arusha.

Mungu akubariki lowassa..

Haya waongo kanusheni sasa
 
Lowassa amekanusha habari zote za uongo, asema yuko fiti na anaendelea vizuri, aeleza alifanyiwa operation miaka iliyopita akashauriwa awe anafanya check up kila mara vile vile amefanya check up zingine zote pamoja na moyo na yuko mzima. Anawashukuru wote waliotuma message na kumuweka kwenye maombi, anashukuru maasjofu na mashehe walimuweka kwenye maombi, asisitizia yuko tayari kwa kazi zote na anaendelea vizuri.

Amekanusha kuongelea hali ya siasa arusha.

Mungu akubariki lowassa..

Haya waongo kanusheni sasa


Alishauria check up awe anafanyiwa Ujerumani siyo:cool2:
 
Humu ndani mlitusumbua sana tukafunga safari tukijua amepata stroke.tukaenda hadi kwake
Dah Kama wewe wa kike kazi unayou.................utaliwa mpaka ukome.....kwenye nyumba za watu ili nini?USWAHILI HUO SI BURE MNAPEWA KANGA ZA BURE NA PILAU.Mamvi anawafaidi sana hizi za burebure kabisa mpaka nyumbani kwake
 
Back
Top Bottom