Nakuelewa sana kwacbabu km mtt alikuwa vizuri mpk dakika ya mwisho na hata nesi hakuona dalili yyt ya kusababisha mtt azaliwe mfu nakubaliana na wewe kuwa kulikuwa na uzembe wa hali ya juuuuuu. Manesi wengi hawajali roho za watu haswa wa goverment hospital.
Nikushauri kakaangu mshukuru MUNGU...
Mbn hiyo tokea siku nyingi kaka yaani pale trafiki mweusi anavaa miwani anajikusanyia hela taratiiiiiibu kila siku kila daladala inayotoka k'koo, mnazi, muhimbimili na kivukoni lazima zitoe buku 2 kwa yule kaka ila km umeandikiwa cheti hawatoi tunawaambia lkn wnasema hawana la kufanya
Watoaji wa kutoa bikra na kuacha nai wanaume na umemtoa mtu bikra yake ukamuacha alfu unategea utakuta wife wako ana bikra inakuwaje. Ccht utakachompimia mwenzio
hayo mabus labda ya uko kwenu ndo yamechoka kutokana na umbali wa safari, DAR LUX za kwenda moshi/arusha ni noumaaa yana bei ya juu lkn ni shidyaaa yanapendwa na watu haswa na ukipata unafika kwa muda mzuri
Watu hawajui kwann kaka amelia ila namuelewa huyu jamaa atakuwa alikuwa mchezaji mzuri sana ila amefika kwa bi dada akafanya ujinga mwingiiiii bi dada akavumilia na kumsaport kwa kila njia na amevumilia amesamehe na csa ypo kuendelea kumpa support mzee baba, csa mzee baba swali limemlenga pale...
kumbe ndio maana magari madgo yanapata sana ajali wkt wa usiku nimeshajua ni ligi ndio linawamaliza vijana wengi na ujinga mwingi sasa hapo mngetoana meno csa ivi mngekuwa mnaonewa huruma dah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.