Pia nko tayari kukuunganisha nao hawa wawili wa kondoa ni rahisi zaidi kuanza nao sababu wana program ya kupokea wageni mashambani na kiwandani kwao wanakotengeneza wine ….Hawa wawili wengine nafanya nao mawasiliano nione kama watakua tayari.
Boss binafsi nawafahamu 4 ambao nilikua nao intake moja pale SUA ,wawili wapo kondoa mmoja ana kiwanda kidogo cha wine kashirikiana na kondoa dioces ,mwingine ana mashamba ya mazao tofauti pale kondoa..mmoja yupo arusha ana mradi mkubwa wa kuku wa mayai na nyama ,wa mwisho yuko pwani ana project...
Tiguan all day everyday,ninayo mwaka wa 2 sasa naitumia sana offroad (90% ya matumizi yangu) kulingana na mazingira nilipo(mkoa wa rukwa) na hainiletei shida,japo huku niliko spare zote naagiza dar.
Katika Hali isiyotegemewa hawa jamaa wa simu za Infinix wameamua kuanza kutoa update za operating system nadhani hii inawezekana ikawa mara yao ya kwanza ,mfano ni hii simu yao Infinix note 11 imepokea update ya android 12...Je,hii inaweza kuwa mwanzo wa maboresho ya hizi simu zao za mitikenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.