Recent content by chilljuice

  1. C

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kutoa uamuzi wa maamuzi ya Mahakama Jumamosi NMC Arusha

    Mod hujaona haya matusi?
  2. C

    JamiiForums Tanzania Matusi ya Lema na Matusi ya Lusinde ni Matusi Yetu na Unafiki Wetu!

    We Macho mlendemko hebu jaribu kutofautisha mambo badala ya ku-generalize issues, matusi ya Lusinde haya influence chochote kwenye hukumu ya Lema, na nnashangaa kuona mnadai hapa ushaidi wa Lema kama alituka kweli au la hali mnajua kabisa Lema alimshambulia mgombea wa CCM kwa kashfa za kutokua...
  3. C

    JamiiForums Tanzania William Malecela @New York City ubunge East Afrika unabisha mlangoni

    CCM ni sikio la kufa halisikii dawa, nashindwa kuelewa sijui wamelogwa....!? Yaani hawaoni kwamba haya mambo ya kujuana yanawaangamiza sa huyo Makongoro Nyerere anapeleka nini jipya huko? Hii Malecela Boy nayo haijui lolote kuhusu maisha ya mtanzania wa kule kijijini anahitaji nini na changamoto...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Matusi ya Lema na Matusi ya Lusinde ni Matusi Yetu na Unafiki Wetu!

    Kunya anye bata akinya kuku inakuwa nongwa! Lusinde, Lema, Mdee pamoja na Sugu wote ni mfano mbaya kwa jamii yetu kwa kuacha siasa na kutoa lugha za matusi! Mahakama kwa hili iko clean, Big up mtoa mada.
  5. C

    JamiiForums Tanzania Ahsante Wabunge Wa CCM, Ahsante JF!

    Magamba wenzio watakuchagua tu! Hongera.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Waziri Sitta amlipua Lowassa Bungeni

    Wallah akigombea kupitia cdm ataingia ikulu! Cdm mkaribisheni huyu jamaa ni jembe! Akichaguliwa atafanya kazi kwa nguvu zote kuprove kuwa yeye ni mchapakazi afu another advantage ni mzoefu serikalini na ataijenga cdm.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Waziri Sitta amlipua Lowassa Bungeni

    EL ni mtu mwenye sifa na ana haki ya kugombea kama mtu mwingine yeyote, kazi ni kwetu wapiga kura! Nampa ushauri wagombee kupitia cdm atashinda.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Mbunge Pauline Gekui anatia aibu CHADEMA

    cdm tuache jazba! Hii inatia wasiwasi pale tunapokuwa bias hata kama mtu anasema ukweli, tunapoguswa tu watu wanapandisha jazba! Mara nape mara magamba mnauwahakika?
  9. C

    JamiiForums Tanzania Kwa hili nasema wanachama na wapenzi wote wa Magwanda ni wasaliti kwa CHADEMA

    Naona utoto unatawala humu!
  10. C

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Geita wamtolea uvivu Shibuda;Wataka aondolewa CDM

    Kwa mheshimiwa Shibuda mtachoka Wenyewe, he always looking for cheap popularity, hapo alipo roho yake nyeupee kuona watu wanamjadili na vyombo vya habari vinamtataja, dawa ni kumtama tu! Maana amewashika pabaya, mkimfukuza means no democracy in cdm, na mkimwacha ni kichefuchefu! Chagueni kipi bora.
  11. C

    JamiiForums Tanzania Huwezi kuwa na akili timamu ukashabikia CCM

    Kushabikia CCM au kutoshabikia CCM ni uhuru wa mtu, maana mgongano upo katika ngazi zote from family level sasa unaposema anaeshabikia ccm hana akili au ni mjina inaonyesha ufedhuli wako zaidi unataka watu wote wafuate wawazo yako hata kama si sahihi! Akili hiyo ni yakibakaji kila mtu anaakili...
  12. C

    JamiiForums Tanzania Chadema kama mna dhamira ya kweli pelekeni hoja binafsi bungeni kupinga kiinua mgongo

    Hizo hasira zako zipeleke kwenye maendeleo yako binafsi ndipo utanielewa! Narudia kusema kuwa tufanye kazi kwa bidii na maarifa tuache kulalamika, hata wabunge wakinyimwa hadi mishahara we binafsi hutapata kitu chochote bila kujishughulisha kaka!
  13. C

    JamiiForums Tanzania Chadema kama mna dhamira ya kweli pelekeni hoja binafsi bungeni kupinga kiinua mgongo

    Hii issue ya posho imekaa kiwivuwivu, tatizo si watz huwa hatupendi kuona mtu anapata kitu huwa tunajenga wivu wa kwanini yule kapata badala ya kufanya kazi,ukijiuliza deeply hiyo posho ni shilingi ngapi utagundua upuuzi wa kuijadili hoja hii, what I think watu wangekuja na constructive...
  14. C

    JamiiForums Tanzania Kwa nini magazeti ya Tanzania leo hayana story hii muhimu

    Habari hiyo ni kubwa ila pen za waandishi wetu zimezoea kuandika siasa na michezo tu!
  15. C

    JamiiForums Tanzania HP kufungua kiwanda Tanzania ni wazimu mtupu!

    Nina wasiwasi na habari hii naomba mmaojua zaidi kuhusu issue hii mtueleweshe vizuri naona kama good news ila mtoa mada ana negative attitude.
Back
Top Bottom