Usiseme CDM sema walioichoka ccm, unajua kila anayepinga hapa si cdm hata hivyo JF haipo kwaajili ya wana cdm tu bali watanzania wote, sasa sijui unatumia vigezo gani kusema cdm, ila nikwambie jambo moja tu wale wote wanaoitetea ccm hata hoja ikijibiwa kwa umakini sana na mtu mmoja ila wanaoichukia ccm na serikali wengi wao wakatoa lugha chafu huwa hamuangalii hiyo hoja moja bali zile lugha chafu. WATANZANIA WAMECHOKA NA CCM KWA RUSHWA NA UTAWALA WA HOVYO, wala si swala la CDM hapa..Cdm mmezoea matusi badala ya kujibu hoja. Kutofautina mawazo ni sehemu ya demokrasia
Cdm mmezoea matusi badala ya kujibu hoja. Kutofautina mawazo ni sehemu ya demokrasia
hauikuwa na mvuto wala hoja za msingi. Nawapa ushauri wa bure akapewe tution namna ya kuwasilisha hotuba ya upinzani bungeni. Pia awe awe anajiamini
Hao magamba wanamatatizo!Umeanza vizuri lakini na wewe umemalizia kichovu sana.
Ndugu wanaCDM huyu mbunge wenu mmemuokota wapi? Kwani akiwa kama Waziri Kivuli Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, amesoma hotuba kichovu sana. SHULE yake inatia shaka ama amepewa ubunge wa viti maalum kupitia sifa za ukoo na eneo atokalo kama ilivyozoeleka ndani ya CDM!
Ni kwamba ameshindwa kusoma au!!,au mlikuwa na hamu ya kuona iPad!?Akili umeipeleka likizo mkuu!?sasa kama kafanya mafyongo watu wasihoji...??kwani nyie cdm mmemtoa wapi mtu asiyejua kujipresent mbele ya bunge? ndo ubaya wa kuokoteza wabunge wanaotemwa na vyama vingine...!! na mkielezwa watu wa cdm ukweli mnaanza kusema eti kuna mada inapindishwa, Ooooh! mara eti nape yupo hewani anaendesha kampeni ndani ya jf...!!
Kwanza umeandika kishabiki,mwishoni umepotosha kabisa hivi wewe ni mtu wa aina gani!!!?Wewe utakuwa wa kwanza kuchunguzwa elimu yakoNdugu wanaCDM huyu mbunge wenu mmemuokota wapi? Kwani akiwa kama Waziri Kivuli Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, amesoma hotuba kichovu sana. SHULE yake inatia shaka ama amepewa ubunge wa viti maalum kupitia sifa za ukoo na eneo atokalo kama ilivyozoeleka ndani ya CDM!
.......
Ndugu wanaCDM huyu mbunge wenu mmemuokota wapi? Kwani akiwa kama Waziri Kivuli Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, amesoma hotuba kichovu sana. SHULE yake inatia shaka ama amepewa ubunge wa viti maalum kupitia sifa za ukoo na eneo atokalo kama ilivyozoeleka ndani ya CDM!
Umahiri wa Mbunge na kutetea wananchi haijalishi; Shule ya mtu au umahili wa kusoma hotuba
sasa kama kafanya mafyongo watu wasihoji...??
kwani nyie cdm mmemtoa wapi mtu asiyejua kujipresent mbele ya bunge? ndo ubaya wa kuokoteza wabunge wanaotemwa na vyama vingine...!!
na mkielezwa watu wa cdm ukweli mnaanza kusema eti kuna mada inapindishwa, Ooooh! mara eti nape yupo hewani anaendesha kampeni ndani ya jf...!!
Ndugu wanaCDM huyu mbunge wenu mmemuokota wapi? Kwani akiwa kama Waziri Kivuli Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, amesoma hotuba kichovu sana. SHULE yake inatia shaka ama amepewa ubunge wa viti maalum kupitia sifa za ukoo na eneo atokalo kama ilivyozoeleka ndani ya CDM!
ulitaka aongee pumba kama munde tambwe?kawape ushauri wale waiba taulo,magamba bana,kila kitu kwenu ni deal.Hauikuwa na mvuto wala hoja za msingi. Nawapa ushauri wa bure akapewe tution namna ya kuwasilisha hotuba ya upinzani bungeni. Pia awe awe anajiamini